Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
NAMI nasema hakunaaaaaaChama dunia nzima hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAMI nasema hakunaaaaaaChama dunia nzima hakuna
Utawapiga haohao mafala.Hiii ndo Simba tunayoitaka...
Mtapigwa sana
Uto jiandaeni kisaikolojia
Chama ni alienChama sio binadamu
LilikataliwaKumbe Baleke alifunga bao la offside??
Umekula Maharage Ya WapiNawakumbusha tu kagere kauza hii mechi[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani we jamaa Yanga iko kichwani mwako inaishi rent-free.Utopolokwinyo wajiandae..... .tutawafumua vibaya mno
Bwahahaha buhahahaaa acha basi utani mtani......Haya mambo sisi tumeshayazoea, sisi ndio mabingwa wa kupiga pass hapa duniani [emoji23][emoji23][emoji23]. Leo angalau mmeanza kupiga pasi tena baada ya kukutana na timu mbovu ya singida
Wewe na nani?Tujiandae kisaikolojia Makolo wenzangu,kipigo leo hakikwepeki, tulikuwa tunashadadia mkataba wa Yanga tukasahau game yetu
[emoji116]Tunaomba kamsimamo please,
MbwaSingida big [emoji93] 3-2 Simba[emoji190]. Nimekaa paleeeee [emoji117][emoji117]🪑
Hapo vpNje ya Simba kubebwa hana nafasi ya kupata matokeo kwa SBS... Mbaya zaidi kocha akiwaanzisha kwa pamoja Chama,Saido na Sakho...!!
Unadhani kila timu ni Singida?Wale wazee wa kufoji mikataba wasilete timu paka wale
Temana na Mimi tusifuatilianeYani we jamaa Yanga iko kichwani mwako inaishi rent-free.