FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

Honesty sikutizama mpira dk zote ila kwa dk 60 nilizotizama kabla Tanesco kufanya yao ,Sakho hakutakiwa hata kurudi kipindi cha pili na Sakho hii sio mechi ya kwanza style yake ni ile ile ya kukaa na mpira bila kufanya cha maana na kupoteza mipira.
 
Honesty sikutizama mpira dk zote ila kwa dk 60 nilizotizama kabla Tanesco kufanya yao ,Sakho hakutakiwa hata kurudi kipindi cha pili na Sakho hii sio mechi ya kwanza style yake ni ile ile ya kukaa na mpira bila kufanya cha maana na kupoteza mipira.
Hakuna aliyetazama mpira dakika zote labda yule aliyekuwa uwanjani

Ila hapo kwa Sakho umefanya analysis isiyo ya ukweli

Sakho ameonesha Quality kubwa sana kwenye second half japo yale madoido ya hapa na pale yalikuwepo ila hayakuwa na madhara kwasababu approach ya mwalimu ilikuwa ni timu ilinde ushindi kwa kukaa sana na mpira

Thats why uliina kila dakika ambayo Simba walionekana kupoteza mpira, wote walikuwa wanapambana kwa nguvu kuurudisha kwenye umiliki wao
 
Sijaona timu ya kumfunga Simba hapa Tanzania kwasasa
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada mnaridhika haraka sana kama jinsi ile.

Kwa pira gani haswa au ndiyo mbeleko na mipango ambavyo Kagere kaacha kuwafunga goli zote 3 [emoji848][emoji3]
 
Mkuu denooJ kumbe ulikuwa sahihi uliposema

"kumbe kuwa na Chama kwenye timu kuna maana kubwa sana. Jamaa anawafanya waliomzunguka wawe wazuri pia"
Gari la gereji hilo, mechi ijayo Makolokolo wakizidiwa mpira mtamkataa tena na kumwita KONOKONO [emoji23]
 
Kibanda umiza hapa mashabiki wamegoma kutoka wanataka ujugu wa hapa awatoze hela tena kwa soka ambalo wameliona..
Nilikuwa Benjamin Mkapa mashabiki tuligoma kwa muda kidogo
 
Kaliwa Aziza mtamu analalamika Ashura cheupe!Timu ya waarabu hii sishangai.Kabwili kaacha historia mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…