Wewe jina lako lipi?Wenzako wote wana majina mbadala.Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada mnaridhika haraka sana kama jinsi ile.
Kwa pira gani haswa au ndiyo mbeleko na mipango ambavyo Kagere kaacha kuwafunga goli zote 3 [emoji848][emoji3]
Tumfananishe na mchezaji wenu anaye vaa namba 10Weka hapa idadi ya magoli aliyonayo huyo Makolokolo wenu [emoji38]
Mechi ikimkataa tunajuaGari la gereji hilo, mechi ijayo Makolokolo wakizidiwa mpira mtamkataa tena na kumwita KONOKONO [emoji23]
We nae na toto wakoNaona Coach ameingia mfumo wa Chama tayari...
Chama ni Identity ya Simba kama alivyokua Feisal na Yanga...
Mahaba yamezidi mkuu. Hivi unamkumbuka mafisangoChama dunia nzima hakuna
wewe unaphilwa si bure.Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada mnaridhika haraka sana kama jinsi ile.
Kwa pira gani haswa au ndiyo mbeleko na mipango ambavyo Kagere kaacha kuwafunga goli zote 3 [emoji848][emoji3]
Sema dogo anakiburi sana....Magoli kama tulimkataza kuyafunga NBC lakini yeye hasikiiView attachment 2505281
Dogo ana sifa kafunga halafu anakusanya wenzake
YaaanGoli la Sakho..pasi imetolewa kwa acrobatic na goli vivohivyo.
Leta timu yako nyoka nyoka fc aka wacheza uchi fcMakolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada mnaridhika haraka sana kama jinsi ile.
Kwa pira gani haswa au ndiyo mbeleko na mipango ambavyo Kagere kaacha kuwafunga goli zote 3 [emoji848][emoji3]
Huyo ni mbwa wa luc eymaelWewe jina lako lipi?Wenzako wote wana majina mbadala.
Umezingua sana yaani kumbe magoli mawili mawili wewe ndio umeharibu.Nilitabiri mnyama kushinda 3 imekuwa[emoji817]
Kocha atakuwa na hard time kuchagua nani aanzeHuyu SAWADOGO ni hatari bwana, kuna player pale.
Chama na Saidoo wanafurahi kucheza pamoja, wasioona ubora wa hawa watu kwenye kikosi watakuwa na sababu zao za kijinga.
Anaufanya mpira anavyotaka nao mpira unamtii, unafurahia kuchezwa na ChamaChama ni alien