FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada mnaridhika haraka sana kama jinsi ile.

Kwa pira gani haswa au ndiyo mbeleko na mipango ambavyo Kagere kaacha kuwafunga goli zote 3 [emoji848][emoji3]
Wewe jina lako lipi?Wenzako wote wana majina mbadala.
 
Weka hapa idadi ya magoli aliyonayo huyo Makolokolo wenu [emoji38]
Tumfananishe na mchezaji wenu anaye vaa namba 10

Ana magoli mangapi huyo anyevaa namba 10 huko kwenu?

Unaelewa heshima ya jezi namba 10?

Nyie ndio mmefanya jezi namba 10 ionekane ni namba ya kipumbavu kwa mchezaji

Stats za Mchezaji wenu anayevaa namba 10. Kwanza ana goli 2, tobo 4 na mikimbio 1,000

Huyo ndio wakumfananisha na Sakho ambaye ulimwengu wote unamjua?
 
Gari la gereji hilo, mechi ijayo Makolokolo wakizidiwa mpira mtamkataa tena na kumwita KONOKONO [emoji23]
Mechi ikimkataa tunajua

Huyu ni mchezaji ambaye anakupa Quality ya juu karibia kila mechi anayocheza

Ila kuna wale wachezaji ambao kila mechi wana boronga na siku wakikiwasha lazima tuwasifie
 
1 Kama kawaida babu onyango muwakilishi wetu tunaomba upeleke malalamiko haya kwann Simba inashinda mechi kama hizi na b 20 azijawekwa kwenye account
2 Jean baleke na saidoo wanazidi kufunga ina maana wale wengne awajasajili dirisha dogo ivi ni haki hii ??
3 kocha kaja juzi toka kwao Brazil leo anakaa bench na kufundisha na kupelekea kipigo kizito kwa singida ni haki hii??
4 kagere anakosa goli la wazi yeye na goli anapaisha afu refa anasema goal kick ni haki? Peleka malalamiko mzee wetu kuna upendeleo mkubwa Sana kwa Simba.
 
Huyu SAWADOGO ni hatari bwana, kuna player pale.

Chama na Saidoo wanafurahi kucheza pamoja, wasioona ubora wa hawa watu kwenye kikosi watakuwa na sababu zao za kijinga.
Kocha atakuwa na hard time kuchagua nani aanze

Ukizingatia Moses Scars Phiri amepona na Banda naye kapona
 
Back
Top Bottom