uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Kikosi cha Simba Kinachoanza.
Kikosi cha Singida FG Kinachoanza
Updates...
Dakika ya 5'
Goooooal kupitia kwa Saidoo baada ya kipa kuutema mpira wa Chama.
Dakika ya 8'
Penati wanapata Simba.
Anaipiga Saidoo
Goaaaaaaaaalllll
2-0.
Dakika ya 34'
Fredddd Goooooooooooal
Simba wanapata goli la 3.
3-0
HT
Simba 3-0 Singida FG.
Kipindi Cha Pili.
Simba wanafanya Sub.
Inonga Out
Kennedy Juma Inn.
FT