Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Utamkata Vipi machine mtu ambaye Hana hiyo machine? huyo si chizi Tu kama machizi wengine kama Ahmed Ally category?Weka na kejeli za yanga dhidi ya simba, umemsahau na yule aliyesema "simba wakishinda dhidi ya jwaneng nikatwe mashine na serikali isiingilie kati", na wale waliosema "yani simba imtoe wydad hatua ya makundi wasahau hilo hili kundi wanapita wydad na asec"