OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Pumbavu kabisa Onana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa maiti wa Singida hii ndio mechi? Tueleze hawa wameshinda mechi gani?Angalau leo tunashuhudia mechi halisi ya soccer, siyo yale maigizo ya jana.
Mwachibuuu huña timu, Al Ahaly watawadharirisha, wale kwenye knock out ni habari nyingine kabisa hawana masihara.Pumbavu kabisa Onana
Kama wewe ni shabiki wa utopolo basi sishangai, ninyi mna vigezo vyenu binafsi vya timu mbovu, kwahiyo ni sawaChama akikutana na timu mbovu utampenda...
True..Ingekua yanga hapa singida angekua kashachukua 5. Simba kapoteza chances nyingi mpaka singida wamerudi mchezo
Huu mdomo ungeleta kama wewe una timu ya kuifunga MamelodMwachibuuu huña timu, Al Ahaly watawadharirisha, wale kwenye knock out ni habari nyingine kabisa hawana masihara.
Huna timu, timu mbovu kama Singida second half unakosa kuwapiga mkono badala yake wanachafuwa clean sheet?Pro unatoaje pasi kwa nyuma wakati timu ipo speed kwenda mbele
Kusema kweli namna Simba Inavyo cheza haileweki walifikaje robo fainali ya klabu bingwa Afrika.
Kama ni nguvu za giza basi jamaa ni kiboko.
Sasa naelewa kwanini mashabiki Wana stress juu ya timu Yao.
Hapa umechambua au umekuwa mtunza kumbukumbu masijala wa wazi?... 🗣️ 𝘼𝙆𝙄𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙈𝘼𝙉𝙀𝙉𝙊
Tuweke akiba ya maneno ✍️
"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain 🇹🇳 utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"
Full — 🇹🇳 Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________
"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"
Full — Yanga 3 - 1 Mazembe 🇨🇩
Full — 🇨🇩 Mazembe 0 - 1 Yanga
Full — Yanga 2 - 0 US Monastir 🇹🇳
1. Young Africans 🇹🇿 ☑️
2. US Monastir 🇹🇳 ☑️
3. Stade Malien 🇲🇱
4. TP Mazembe 🇨🇩
🎖️ Final (CAF-CC).
_________________________________
"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad 🇩🇿 bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria 🇩🇿, kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"
"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"
Group stage final ;
1. 🇪🇬 Al-Ahly Cairo ☑️
2. 🇹🇿 Young Africans SC ☑️
3. 🇩🇿 CR Belouizdad
4. 🇬🇭 Medeama
_______________________________
"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"
Full — Yanga 4 - 0 CR Belouizdad 🇩🇿
____________________________
"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns 🇿🇦, Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"
Full — Yanga ? - ? Mamelodi 🇿🇦 ...
Mamelodi anakufa vizuri tu Mwachibuuu.Huu mdomo ungeleta kama wewe una timu ya kuifunga Mamelod
Akiba ya maneno inawekwa na watu waoga... 🗣️ 𝘼𝙆𝙄𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙈𝘼𝙉𝙀𝙉𝙊
Tuweke akiba ya maneno ✍️
"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain 🇹🇳 utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"
Full — 🇹🇳 Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________
"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"
Full — Yanga 3 - 1 Mazembe 🇨🇩
Full — 🇨🇩 Mazembe 0 - 1 Yanga
Full — Yanga 2 - 0 US Monastir 🇹🇳
1. Young Africans 🇹🇿 ☑️
2. US Monastir 🇹🇳 ☑️
3. Stade Malien 🇲🇱
4. TP Mazembe 🇨🇩
🎖️ Final (CAF-CC).
_________________________________
"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad 🇩🇿 bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria 🇩🇿, kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"
"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"
Group stage final ;
1. 🇪🇬 Al-Ahly Cairo ☑️
2. 🇹🇿 Young Africans SC ☑️
3. 🇩🇿 CR Belouizdad
4. 🇬🇭 Medeama
_______________________________
"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"
Full — Yanga 4 - 0 CR Belouizdad 🇩🇿
____________________________
"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns 🇿🇦, Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"
Full — Yanga ? - ? Mamelodi 🇿🇦 ...
Weka na kejeli za yanga dhidi ya simba, umemsahau na yule aliyesema "simba wakishinda dhidi ya jwaneng nikatwe mashine na serikali isiingilie kati", na wale waliosema "yani simba imtoe wydad hatua ya makundi wasahau hilo hili kundi wanapita wydad na asec"... [emoji2788] 𝘼𝙆𝙄𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙈𝘼𝙉𝙀𝙉𝙊
Tuweke akiba ya maneno [emoji3578]
"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain [emoji1249] utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"
Full — [emoji1249] Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________
"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"
Full — Yanga 3 - 1 Mazembe [emoji1078]
Full — [emoji1078] Mazembe 0 - 1 Yanga
Full — Yanga 2 - 0 US Monastir [emoji1249]
1. Young Africans [emoji1241] [emoji3514]
2. US Monastir [emoji1249] [emoji3514]
3. Stade Malien [emoji1159]
4. TP Mazembe [emoji1078]
[emoji2422] Final (CAF-CC).
_________________________________
"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad [emoji1026] bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria [emoji1026], kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"
"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"
Group stage final ;
1. [emoji1093] Al-Ahly Cairo [emoji3514]
2. [emoji1241] Young Africans SC [emoji3514]
3. [emoji1026] CR Belouizdad
4. [emoji1110] Medeama
_______________________________
"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"
Full — Yanga 4 - 0 CR Belouizdad [emoji1026]
____________________________
"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns [emoji1221], Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"
Full — Yanga ? - ? Mamelodi [emoji1221] ...
Benchika anafanya QT kwao.Benchika karudi au timu ipo na Matola