FT: Simba SC 3-1 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | 12.03.2024

FT: Simba SC 3-1 Singida Fountain Gate | NBC Premier League | 12.03.2024

Mamelody wameshikiliwa bomba na supersport mpaka sasa ni 1-1

Mechi ikiisha hivyo utaona baadaye vijana wa Mwakalebela wakihamasika kuwa nao wanaweza kupata matokeo kama hayo
Mkuu hawa vyura wasije tushangaza tena.

"Wamerudisha moja SFG"
3-1
 
Singida Fountain Gate iliitwa hivyo baada ya Singida United ya Mwigulu kuungana na Fountain Gate walio na timu ya wanawake ili Singida apate kibali cha kucheza mechi za CAF, ndio akashiriki shirikisho.

Tambua CAF bila kuwa na timu ya wanawake huwezi kushiriki mashindabo yao ya wanaume, ligi ya mabingwa Afrika na shirikisho.

Hivyo kuanzia sasa futa hiyo habari ya Ihefu na Mwigulu kwenye kichwa chako.
Basi hujui kinachoendelea mkuu,pole sana
 
Mamelody wameshikiliwa bomba na supersport mpaka sasa ni 1-1

Mechi ikiisha hivyo utaona baadaye vijana wa Mwakalebela wakihamasika kuwa nao wanaweza kupata matokeo kama hayo
... 🗣️ 𝘼𝙆𝙄𝘽𝘼 𝙔𝘼 𝙈𝘼𝙉𝙀𝙉𝙊

Tuweke akiba ya maneno ✍️

"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain 🇹🇳 utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"

Full — 🇹🇳 Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________

"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"

Full — Yanga 3 - 1 Mazembe 🇨🇩
Full — 🇨🇩 Mazembe 0 - 1 Yanga
Full — Yanga 2 - 0 US Monastir 🇹🇳

1. Young Africans 🇹🇿 ☑️
2. US Monastir 🇹🇳 ☑️
3. Stade Malien 🇲🇱
4. TP Mazembe 🇨🇩

🎖️ Final (CAF-CC).
_________________________________

"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad 🇩🇿 bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria 🇩🇿, kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"

"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"

Group stage final ;

1. 🇪🇬 Al-Ahly Cairo ☑️
2. 🇹🇿 Young Africans SC ☑️
3. 🇩🇿 CR Belouizdad
4. 🇬🇭 Medeama
_______________________________

"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"

Full — Yanga 4 - 0 CR Belouizdad 🇩🇿
____________________________

"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns 🇿🇦, Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"

Full — Yanga ? - ? Mamelodi 🇿🇦 ...
 
View attachment 2932764
Muda ni Saa 2:15 Usiku.

Kikosi cha Simba Kinachoanza.
View attachment 2932807

Kikosi cha Singida FG Kinachoanza
View attachment 2932837

#nguvumoja#.

Updates...

Dakika ya 5'
Goooooal kupitia kwa Saidoo baada ya kipa kuutema mpira wa Chama.

Dakika ya 8'
Penati wanapata Simba.
Anaipiga Saidoo
Goaaaaaaaaalllll

2-0.

Dakika ya 34'
Fredddd Goooooooooooal
Simba wanapata goli la 3.

3-0

HT
Simba 3-0 Singida FG.

Kipindi Cha Pili.
Simba wanafanya Sub.
Inonga Out
Kennedy Juma Inn
Goli la Singida kafunga nani...... we kolokwinyo?
 
Back
Top Bottom