Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Angalau leo tunashuhudia mechi halisi ya soccer, siyo yale maigizo ya jana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂🤣😁😁😁Hahaha mtani matokeo yangekuwa vice versa ungekuwa unatucheka saa hii, ila mpaka sasa kwa kweli ushindi ni wetu, naona uto wenzako wamekula kona
Naona kweli kishindo cha wakoma kimewakimbiza washami..Friends of Singida Fountain tunawatakia rafiki zetu ushindi wa kishindo.....🫂
Yes, kuna siku mbaya kazini, sipingi hilo, ila mpaka namsema ni kwamba nimemchunguza hivi karibuni nimeona haya.Ila kuna bad day kwenye kazi..huyu kibu ni msaada siku zingine..yani Simba inaongoza kwa kuwalaumu na kuwasema wachezaji wake..nadhani kama wanasomaga maoni waweza pata depression..
Na huo ndio ukweli wenyewe, chama ni mtu mwingine, japo na watu wanaomzunguka mchezoni wanamuangusha ila chama ni mchezaji bora zaidi kumuona katika ligi kuu tanzaniaMkuu watu wanaleta ligi tu ila kuna clip niliiona instagram ila sikuidownload, wameunganisha vipande Hersi, Kamwe, Privaldinho na Manara wakiwa wanamsifia Chama katika mazingira tofauti, kwamba ndio mchezaji bora kwenye ligi ya Tanzania kwa misimu yote aliyokuwepo hakuna anayemgusa
TumezidiwaSimba katikati imekufa kabisa. Singida inafanya sub kocha wa Simba kala ganzi tu
alikua Mchezaji bora kabla hajaja PacomeMkuu watu wanaleta ligi tu ila kuna clip niliiona instagram ila sikuidownload, wameunganisha vipande Hersi, Kamwe, Privaldinho na Manara wakiwa wanamsifia Chama katika mazingira tofauti, kwamba ndio mchezaji bora kwenye ligi ya Tanzania kwa misimu yote aliyokuwepo hakuna anayemgusa
Wazee wetu wamechoka, ajabu kocha anawatazama tuKibu atolewe. Kwani ni lazima acheze dakika zote.
Ila kuna bad day kwenye kazi..huyu kibu ni msaada siku zingine..yani Simba inaongoza kwa kuwalaumu na kuwasema wachezaji wake..nadhani kama wanasomaga maoni waweza pata depression..
Mkuu watu wanaleta ligi tu ila kuna clip niliiona instagram ila sikuidownload, wameunganisha vipande Hersi, Kamwe, Privaldinho na Manara wakiwa wanamsifia Chama katika mazingira tofauti, kwamba ndio mchezaji bora kwenye ligi ya Tanzania kwa misimu yote aliyokuwepo hakuna anayemgusa
Bado huyo mpk blich hajamfikia kuna vitu anakosaalikua Mchezaji bora kabla hajaja Pacome
Ndo maana Pacome analimganishwa naye?Chama akikutana na timu mbovu utampenda...