OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Chama awe anapiga mwenyewe tu, striker hawamtendei haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😁😁Leo mnashinda usiogope dada yanguKuna kila dalili za kufungwa leo maana singida nao ni kama azam ni kati ya timu zinazotukamia sana, sasa kama prisons tu ambao hawatukamiagi walitufunga sembuse hawa, anyway kila la heri
Makubaliano yanaendelea vizuriSINGIDA FOUNTAIN GATE kama tulivyokubaliana
Kajifunze ku betTupo tunamfikilia Mamenlod kwanza, hii game Simba anaenda kutoa sare.
Simba 1 - 1 Singida.
Nipo palee na chiga yangu mkononi.
WamekusikiaKila la heri Singida Big Stars
🤣🤣🤣Kila la heri Singida Big Stars
Siwezi kuwa Utopolo hata kidogo but let's talk truthVyura mmeshaanza kunena kwa lugha....
Na bado mpaka mseme..
Duuh ila na ww mbona unawasema sana wachezaji?Huyu kibu D graph yake inashuka.
Najiuliza aliyesema akili ni nywele ni nani, maana kibu nywele nyingi ila akili kisoda.
Hahaha yani nimegundua timu nikiwa na wasiwasi nayo ndio tunawakanda ila nikiwa nawadharau ndio wanatukanda, kama ile mechi na prisons iliniuma sana maana nilikuwa najiamini kuwa tutawakanda (siyo kwamba nilibet) maana wale hawatukamiagi sana, hawa singida nilikuwa na wasiwasi nao maana wao na azam wanatukamiaga sana ila nimeshangaa hadi sasa tushawakanda tatu basi mpaka hapa huu ushindi ni wetuTushamkanda 4
Yuko vzr sana,akipewa,sapoti na kuacha kumpa presha ..Lakred...leo network zinadaka vizuri
Ndio Mkuu mtoto wa Mjomba.Che Malone ni mdogo wako [emoji38] ila wabongo mnanishinda tabia aisee.....
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hahaha mtani matokeo yangekuwa vice versa ungekuwa unatucheka saa hii, ila mpaka sasa kwa kweli ushindi ni wetu, naona uto wenzako wamekula kona[emoji23][emoji16][emoji16]Leo mnashinda usiogope dada yangu