Kama unaweza kumuhonga singida ndio utaacha kumuhonga galaxy? Kuna timu ilihongwa ikaachia ngao ya jamiiSasa galaxy nayo timu. Haaahaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaweza kumuhonga singida ndio utaacha kumuhonga galaxy? Kuna timu ilihongwa ikaachia ngao ya jamiiSasa galaxy nayo timu. Haaahaaa
Kafunga? Wengine hatuna tvNgomaaa
Sio yeye tu, wachezaji wa Simba wana hili tatizo la kulazimisha sehemu isiyofaa kulazimisha kisha mpira unapotea. Anafanya sana Saidoo, Kibu, Onana, Chama japo si mara nyingi, Sasa hivi kaongezeka Fredi.Leo nimemtizama huyu bwana fredy koublan, nakiri ana sifa myingi za kuwa mchezaji mzuri, ana ball controll nzuri, dribbling nzuri, kupinga chenga(kumpita beki) anaweza.
Ila kinachomuharibu nahisi ni presha ama ndio alivyo ni mbinafsi, kuna vitu anafosi sana, kuna mipira ya kuachia ye anafosi, sehemu ya kupasia ye anataka kupiga, ubora wake hauwezi kuonekana kwa namna hii, walio karibu nae wampange. Kuna mpira mmoja alimchukua mtu vizuri ule ilibbidi ampasie saidoo kule pembeni, akaumg'ang'ania mpaka akapoteza, hata goli alilofunga, ilikuwa apasie.. Sasa hii kufosi anapokosea ndio inamuongezea presha zaidi, atashindwa kufamya vizuri kama mambo yakiwa yanamgomea hasa mabao.
Kwakweli bado tunaleta ujamaa kwa wapinzani kwa kuwaonea huruma, inatakiwa tukifika golini tuoneshe ubepari wa hali ya juu, tuna tabia ya kuridhika mapemaKingine naona simba bado hatuko na roho mbaya kwenye goli la mpinzani, tuna utoto mwingi, hii tabia hata kwenye champions league ilitugharimu game vs wydad hapa taifa.
Wenzetu UTOPOLO hawacheki na kima wakiwa golini.
Golini kwa mpinzani unahitaji uwe na roho mbaaaya sana.
Simba yetu ni mbovu ila hii singinda ni team mbovu kabsaSaidoo kapiga upande aliopo kipa na wakati kuna upande upo wazi. Wanamchosha Chama, anafanya kazi kubwa halafu wakumalizia wanakosa.
Hapa ubao ulipaswa kusoma 5 au 6Simba yetu ni mbovu ila hii singinda ni team mbovu kabsa
Anatolewa. Duchu kaingiaHuyu Israel ajifunze kucheza pasi haraka. Hizi anao anao atabakia kuwa majeruhi tu muda mwingi.
Uko sahihi, wanafosi, mwishowe wanaharibu, inawahatibu kisaikolojia. Mwishowe wanajikuta wanachukiwa na mashabiki.Sio yeye tu, wachezaji wa Simba wana hili tatizo la kulazimisha sehemu isiyofaa kulazimisha kisha mpira unapotea. Anafanya sana Saidoo, Kibu, Onana, Chama japo si mara nyingi, Sasa hivi kaongezeka Fredi.
Kabisa mkuu.Uko sahihi, wanafosi, mwishowe wanaharibu, inawahatibu kisaikolojia. Mwishowe wanajikuta wanachukiwa na mashabiki.
Mimi sinaga ushabiki maandazi, mbona simsemi ngoma, tshabalala na wengine, ukweli ni kwamba ngoma na baadhi ya wachezaji wanazingua kwa mazimgira tofauti, kibu nguvu nyingi akili kisodaDuuh ila na ww mbona unawasema sana wachezaji?
Mkuu watu wanaleta ligi tu ila kuna clip niliiona instagram ila sikuidownload, wameunganisha vipande Hersi, Kamwe, Privaldinho na Manara wakiwa wanamsifia Chama katika mazingira tofauti, kwamba ndio mchezaji bora kwenye ligi ya Tanzania kwa misimu yote aliyokuwepo hakuna anayemgusaWakati nyinyi mnahangaika kulinganisha chama na pacome,
Usikute siku simba anacheza, pacome anakaa na daftari lake kukopi notes kwa chama anaeishia ishia. [emoji1787][emoji23]
Ila kuna bad day kwenye kazi..huyu kibu ni msaada siku zingine..yani Simba inaongoza kwa kuwalaumu na kuwasema wachezaji wake..nadhani kama wanasomaga maoni waweza pata depression..Mimi sinaga ushabiki maandazi, mbona simsemi ngoma, tshabalala na wengine, ukweli ni kwamba ngoma na baadhi ya wachezaji wanazingua kwa mazimgira tofauti, kibu nguvu nyingi akili kisoda