🤣🤣🤣Kazi ipo leoView attachment 2932485
Kama walipokutana na Simba waliteleza watashindwaje Kwa SingidaUtashangaa Singida wanakamia game inakuwa ngumu kupita kiasi ila hao hao wakicheza na Yanga unaona watu wanateleza tu utafikiri timu pinzani walikuwa club usiku wa kuamkia mechi
Mnatuchafulia Uzi wetu.Kazi ipo leoView attachment 2932485
Atakula Sita atulie kabisa.Ngoja tuwaone Ndondokela FC leo, japo Singida nao sio wa kuwaamini sana.