MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Labda wewe ikuumeHaikuumi?
Basi usinuneLabda wewe ikuume
Dogo ananipangia wapi nicomment na wapi nisicomment na bando hajaninunuliaExactly [emoji817][emoji23][emoji16][emoji16]
Kwa hiyo ulitaka simba wafungwe ili uone ushindani?Game zote 2 ana cheza timu ambazo hazioneshi hata ushindani ni timu zisizoeleweka kabisa mipango yake.
Pole ndugu mwasibu [emoji847]Basi usinune
Wanetu hao wanazingua sana ngoja tufike round ya mwisho hawachelewi kususaDogo ananipangia wapi nicomment na wapi nisicomment na bando hajaninunulia
aah vitalo ndio washindani sioGame zote 2 ana cheza timu ambazo hazioneshi hata ushindani ni timu zisizoeleweka kabisa mipango yake.
Hiyo nimei tap kwa simuGoli zuri sana πππ mkuu unatumia web au app unatuma video recodi hipi nitumie hapa cracked yake
Timu dhaifu ni yanga kwa sasaSimba waongeze jihad,speed na nguvu.Pia wasajili wachezaji wa maana,timu bado dhaifu.Wasione wanashinda kwa hizi timu zilizojifia wakaona wamemaliza.
Dhaifu kwa kipimo gani? we UtopoloSimba waongeze jihad,speed na nguvu.Pia wasajili wachezaji wa maana,timu bado dhaifu.Wasione wanashinda kwa hizi timu zilizojifia wakaona wamemaliza.
Niko hapo Keko kwenye furnitures.Wacha weeeh πππ
Uko wapi?
Oook shukrani sanaHiyo nimei tap kwa simu
Na majeneza unatengeneza??Niko hapo Keko kwenye furnitures.
Tunatengeneza furnitures kali za chumbani zinazoboresha tendo. Kabla ya kununua unaweza kuitest moja na mimi fundi.
πππMods waunganishe hiyo ID tu