Timu yako imeshinda furahi ila hii kauli ya Yanga kufungwa ,Ifungwe na timu gani sasa haoa nchini au unazungumzia club bingwa,.Timu zote hapa nchini kazi yao ni kupunguza magoli kama alichofanya Simba kwenye ngao ya jamii au kutoa Draw,Mambo ya kufunga waachie Aly ahli??Yaan yanga wanataka Simba akishinda wanune akifungwa wanune hilo haliwezekani iko hivi hii yanga inayosifika ngoja ifungwe mechi 2 utaona washabiki watakavyopayuka si mnasema imekamilika na makosa yataonekana ndiyo mashabiki walivyo wakifungwa wataongea wakishinda watashangilia
Kama ninyi jana mlivyokuwa wazima wa afya afu mnapigana na maiti 9 uwanjanimwenye afya kajipima nguvu na mgonjwa kitandani hahahahah
Wana Simba ata kunipa ZAWADI tu duu mna roho ngumu, nimeweka Goli mpaka tatu, lakini zimefika nne si nimejaribu πSimba anashinda kama sio 2 au 3 msinipige mawe jamani π
hahahhaa. kulwa na doto wote wanapima afya na wagonjwa kitandani.Kama ninyi jana mlivyokuwa wazima wa afya afu mnapigana na maiti 9 uwanjani
Kuna manne walibisha
Kwahiyo unashauri wafanye kitu gani kujenga timuKocha, wachezaji, viongozi msibweteke kwa ushindi wa hizi mechi mbili timu yetu inahitaji kujengwa kisawa sawa π¦
MKATAA PEMAA.....π
#NB Haya Urudi Utukatikie Mauno Vizuri,
Maana ndio taaluma unayoiweza kwa Sana..
Ifikie Hatua Watu watambue ya Kuwa PESA sio kila kitu Duniani,
Mnataka kuniambia DUBE alikuwa Analipwa Milioni 1 Pale Azam,?
Why Alikimbia!???..
Kaona Structure ya timu haielewi na Haina utayari wa Kushindana Ili Kujipatia Heshima,
Badala yake Ina Azma ya kuwavuruga Wenzao kupitia Kwa Pesa zao za Maunoπ
MKINUNA MJE TARIMEπ
Hahahaaa. LolJeaaaaaaaaaaan Ahouuuuuuuuua
Ukitaka kulala uniambie nataka nikutakie usiku mwemaHahahaaa. Lol
Khaaa. πMi nimechoka kushangilia bana
Ila wewe ukiambiwa umeshibanino na min unarusha mabutiππ nitakata nyam nyam hizo oohMimi naona kama wewe ndiye mmeshibana kwa muda mrefu zaidi
ππππ€£ππMimi naona kama wewe ndiye mmeshibana kwa muda mrefu zaidi
Nisamehe sana fake akeeπIla wewe ukiambiwa umeshibanino na min unarusha mabutiππ nitakata nyam nyam hizo ooh