Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
From the 3rd sesheniSpeaking of the devil
Kwa azam hii labda ndio wawe watatuWanetu hongereni sana ila tukianza kucheza sisi nyie subirieni nafasi yenu ya 3
Tulia usiwasumbue waache waendelee na mambo yaoAsante Sana Moderator Una update kwa wakati, tofauti na mechi za Yanga au Azam
Ihefu tena, wewe hizi timu naona zinakuchanganya sana, ihefu ndo hao kina guede wanajiita singida black stars kwa sasa5imba ni mental case wanafurahia kuwafunga ihefu magoli mengi wakati jana walituambia Vital O ni vibonde
Kumbe wivu na kijiba cha roho kinawasumbua..!
Hahahahahahah ila kweli kabisaTulia usiwasumbue waache waendelee na mambo yao
Kwasababu wakisema waweke umakini kwenye mechi yetu, itawafanya wawe bize kwasababu kila muda watakuwa na vitu vingi vya kuripoti na kujikuta wanasahau majukumu mengine.
Acha yakifika 5 ndio tuwastue
Unaniruhusu nitunze hii risitiKwa azam hii labda ndio wawe watatu
hii huwa ni kabla haijakutana na yanga, wakikutana tu stori inabadirikaKama SIMBA itapata number 10 mchezeshaji mzuri, .. simba hii itatisha...
Pole sana.Leo acha nikacheki hii game banda umiza, nione makolo wanavyopokea kipigo kizito
Umekuaje tena?5imba ni mental case wanafurahia kuwafunga ihefu magoli mengi wakati jana walituambia Vital O ni vibonde
Kumbe wivu na kijiba cha roho kinawasumbua..!
Kweli Ihefu mna safari.Team hatuna hapa bado tunasafiri ndefu
Sawa mkubwaIhefu tena, wewe hizi timu naona zinakuchanganya sana, ihefu ndo hao kina guede wanajiita singida black stars kwa sasa
Baluq si yupoKama SIMBA itapata number 10 mchezeshaji mzuri, .. simba hii itatisha...
Najisikia kugombana na weweUmekuaje tena?