FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024

FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024

Moto umeuanzisha ujue kuuzima....si una pdf langu limwage nijue pa kuanzia.Nilishajua si mwanaume tangu nione wagombana na wanaume.Ptuuu! Ni kheri angemeza Misoprostol☹️
Huyu nyie ndo mnamchekea na wote mnayecheka naye atawavua nguo, huko pm anasambaza ubuyu kawalala wote mnaocheka naye tena kavu 🤣🤣🤣
 
Huyu nyie ndo mbamchekea na wote mbayecheka naye atawavua nguo, huko pm anasambaza ubuyu kawalala wote mnaocheka naye tena kavu 🤣🤣🤣
Mbeya na kigamboni wapi na wapi? Nishazoea kucheka na kilamtu mie....em ngoja tuone panapovuja
 
Makundi anapangwa na nani?

Ebu fikiria tu

Mwaka juzi mlipanga na Zalan, hao Zalan kwa kipindi kile walikuwa ni level ya Majimaji.

Hiki ndio kiwanja chao cha nyumbani niambie mngeweza kupata hata goli moja endapo mechi yao ingeamukiwa kucheza hapa?

View attachment 3078958

Lakini pamoja na unafuu huo wa kupewa kibonde haikutosha mpaka pale mlipofanyiwa favor kwa hiyo team kucheza michezo yote hapa hapa.

Mwaka jana tena hivyo hivyo na ile kampuni ya uuzaji mtindi Asas. Kabla ya draw hakuna mtu akiyekuwa anajua kuwa Asas anatimu sio mimi tu hadi wewe hukuwahi kujua.

Dusko tena likawaangukia, mechi mbili zikachezwa chamazi.

Juzi tena mkaja na hao Vitalo kwa mfumo uleule yani timu kibonde lakini mechi zote zimechezwa hapa hapa.
Hii hoja yako ni dhaifu sana. Kwani hp Zalan na Vital'o walilazimishwa kuchezea viwanja vyaTanzania? Mbona mwaka jana/juzi El Mereikh ya Sudan ilichagua kuchezea Rwanda, na bado walitolewa!!
 
Aiseee,Sina hamu cute.Em ngoja niende nae taratibu....pm anaongea Sana kuhusu mi lakini nilivunga...em ngoja nione gender yake halisi
Pm anawananga nyie mademu zake na mnamuomba pesa, wote kawafokoa kasema na mnapenda kumuomba pesa 😹😹😹

Uzi wenu wa mapopo kapita na nyie wote eti.!! 🤣
 
Back
Top Bottom