Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Aliyeingia robo na mechi moja mkononi na aliyeingia mechi ya mwisho yupi Bora?Wameingia robo kwa kuchechemea π€£ππ€£
Wakumbushee kabisaa, na wasiji sahaulisheee mapema yote hii.Wale wanaosema Kundi letu jepesi wakumbuke tulikuwa na Wydad ambaye ni finalist na bingwa mzoefu wa hii michuano ila safari hii kaaga Mashindano mapema [emoji16][emoji16]
Balaaaa ww ngoja inarekodi za kutosha sana mpk sasa
ππUtopolo hawaaminiWakandeeee wawe utopolo skweadi...View attachment 2922396
Mnaoteseka, tulieni dawa yenu ninayo, soon naanza kuwapa dosage.Makolo bhana, yani mnapiga bomu mochwari halafu mnashangilia bla aibu, shame on you kolozdad fc
Simba kaingia robo fainali kikomando,kwa ushindi wa kibabe mno.Raha tupu yan....
Chama kwa sasa ameshajihakikishia atabaki kwa makolo hadi apate wajukuu
Kubeba kombe na kina Saido? Punguza mizaha.Kwa misimu takribani 6 mfululizo haijawahi kuwa shida kubwa kwa Simba kufuzu hatua ya robo fainali, ni wakati sasa wa kupambana kiitafuta nusu fainali na hata fainali yenyewe. Kila kitu kinawezekana kama mtani alisubiri kwa miaka 89 na wamefanikiwa kuingia hatua ya robo basi hata kwa Mnyama inawezekana hata kubeba hili kombe, tunalitaka sana.. Kila la kheir.. Leo mpira umetembea kwa maana ya kutembea!
Aunt Leo tumejipata πMnaoteseka, tulieni dawa yenu ninayo, soon naanza kuwapa dosage.
πππππ
Zote Jobe bila shakaOffside 10.
Hizo goli 6 unamfunga Mamelodi au Al Ahaly? Hilo ndio la kujiuliza, hao wacheza Makhirikhiri Wana rank gani?Wadau kwenye mashindano haya kuna timu imefunga goli 6?
Yeah ni sahihi. Tumelalamika toka.miaka na miaka tynaonewa tukienda kucheza nje. Inatakiwa wakija hapa nao wateme Bungo. Hongera mtani.Kwa Mkapa sasa hivi kunatakiwa kuwe machinjio ya kila anayekuja, pawe panaogopeka kama Alexandria Misri...
Yap. Kuna moja ya kibu. Nadhani zipo 11.Zote Jobe bila shaka
Kati ya Simba na Uto nani apewee Mamelodi
Hii ndio maana ya ukubwa.Ahmed Aly ndo msemaji bora mpk sasa..hajapanic hajakata tamaa na hajazimia...