Pole sanaSanamu la chama liwekwe viunga vya msimbazi..
Japo nimeshangilia mpira wa timu yetu Simba nikiwa kitandani nauguza jeraha la kuvunjika mguu wa kushoto
Ila siku ya Leo imekua nzuri na furaha sanaa Kuna muda nilijikuta nataka kunyanyua mguu wenye HOGO
ALL IN ALL,
Simba Guvu Moja [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Acha Uvuvi Haramu.I wish one day tutaonana
Yaani Bendera ya yanga ingekuwa hadi leo bado inapepea nusu mlingoti.Yule ni dhaifu hata kwa kumwangalia tu.Ingekuwa ni ushindi huu leo ndiyo team yake imepata sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine.
Kwa Ushahidi angalia kwenye tovuti ya CAF. Hii ni baada ya Bezulidad kupeleka caf ushahidi. Kolo MwafaaaaLeta ushahidi,ukishindwa we ni mzushi tu na chuki za wazi
Labda huko uliko..Ushindi wa leo ni goli nyingi lakini hauna vibe kama ushindi wa juzi wa Yanga.
Yaani hata Simba ingefunga goli 20 wala kusingekuw na vibe kama la juzi kumfunga Muarabu.
TRA iliyochangamka iliyomfunga Wydad na kumtoa Orlando Pirates machindanoni..Unajisifu kwa kuifunga TRA iliyochangamka?
Orlando Pirates ni wabovu kama ilivyo kwa Wydad, majina yasikutishe. Kwenye hii michuano hakuna mechi yoyote ambayo wydad alipata ushindi wa goli 2 na zaidi.TRA iliyochangamka iliyomfunga Wydad na kumtoa Orlando Pirates machindanoni..
Una wazimu wee? Kufurushwa afurushwe galaxy, kifafa kikupatee wee inahuuu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]U
Kwa Ushahidi angalia kwenye tovuti ya CAF. Hii ni baada ya Bezulidad kupeleka caf ushahidi. Kolo Mwafaaaa
Mnao tesekaa, dawa 3 ziko madukani kote km hela ya kununua hakuna, semeni mnunuliwe muanze dosage mapema. Hatutaki keroo sie.Orlando Pirates ni wabovu kama ilivyo kwa Wydad, majina yasikutishe. Kwenye hii michuano hakuna mechi yoyote ambayo wydad alipata ushindi wa goli 2 na zaidi.
Kifupi hili kundi halijatoa timu yoyote bora na sitoshangaa wote mkitoka robo fainali.
HahahahAcha Uvuvi Haramu.
Mbona kama hata hakuhojiwa,alikubali kweli kuhojiwa?maana nilimwona ni kama alienda vyumbani moja kwa moja mechi ilipoishaNaombeni post match interview ya kocha wa jwaneng ......nimsikie
AsanteOooh poleee sanaa, hope ushindii huu umekata maumivu ya jeraha lako.
[emoji120][emoji120]
Asante
Ushindi wa Yanga inaingiaje hapa,we sema unawashwa tu kuizungumziaUshindi wa leo ni goli nyingi lakini hauna vibe kama ushindi wa juzi wa Yanga.
Yaani hata Simba ingefunga goli 20 wala kusingekuw na vibe kama la juzi kumfunga Muarabu.
Kwahiyo uto ndo wataenda nusu?, Chicken head!Orlando Pirates ni wabovu kama ilivyo kwa Wydad, majina yasikutishe. Kwenye hii michuano hakuna mechi yoyote ambayo wydad alipata ushindi wa goli 2 na zaidi.
Kifupi hili kundi halijatoa timu yoyote bora na sitoshangaa wote mkitoka robo fainali.
Usijali Mtani. Kiukweli tumeing'arisha Tanzania kimataifa.Haha nipo mtani tukutane Robo fainali ππ
Kwa timu gani muliyocheza nayo timu mbovu hata azam anamkalisha.GOli 6 na hakuna kiongozi yeyote wa simba aliezimia simba hakuna ushamba
Timu bovu tu lile yanga kakupa mkono huna cha kumfundisha.Safi sana. Hivi ni vitu vya kawaida sana. Tulikuwa tunamfundisha Yanga
Yeah kabisa mtani, ila msipojiangalia, safari hii hilo Jina tunaweza tukawarithisha ninyi [emoji3][emoji3]Usijali Mtani. Kiukweli tumeing'arisha Tanzania kimataifa.
Yale mambo ya Mwakarobo muyaache sasa. [emoji23][emoji23][emoji23]