Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Kama vipi simba wakimbie mechi iisheeeππππ
Uishe tukapike sie. πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uishe tukapike sie. πππππ
Limekuwa picha la kihindi, steringi anakufa kwenye michaichai hapo pembeni ya ukuta...Arnold anapambana na predator πππ
Kaeni kwa kutulia.Yanga wameloga sana hii mechi,yani Simba yangu Chama,Merqueson,Morison,Lwanga hawa woote wamepoteana.
Kabisaaaaa. Kwani kukimbia sh ngapi? ππππKama vipi simba wakimbie mechi iisheeeππππ
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Piiiiga mikiaaaLimekuwa picha la kihindi, steringi anakufa kwenye michaichai hapo pembeni ya ukuta...
Yamekuwa haya tena?Yanga wameloga sana hii mechi,yani Simba yangu Chama,Merqueson,Morison,Lwanga hawa woote wamepoteana.
Arnold kaangukia mtoni πππHahaaa, Arnold yupo matopeni huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Piiiiga mikiaaaa
Sent from my SOV34 using JamiiForums mobile app
No no flick. Kama ni hivyo basi Hata jkt na PolisiNarudia tena kauli yangu " Mukitufunga leo nyinyi ni timu kubwa Tanzania na Africa kwa ujumla.
Huyu demu nimemuona mbezi Louis na madem wenzake ,acha ajiuze leo Simba amekua pakaFirst half tumesaminisha kwanza, sekandi hafu tunaoa kabisa
View attachment 1839009