Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂🤣🤣Wooooyooooool
Katiba ni haki ya kila mtanzania mwenye nia njema na nchi, tumemkomoa raisi kwasababu tunajua ni shabiki wa simba. Kwetu sisi kipaumbele ni katiba mpyaNgoooojaa....
Hebu tuambie shozniga yupo wapi kwa sasa?
Kikosi kipana kimepanuliwa paaaanuuuuuuGundu tena Bob? Kwani si tulikubaliana tuna kikosi kipana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Piiiiga mikiaaaaaa
Sent from my SOV34 using JamiiForums mobile app
Ebu mtag mganga, maana kafanya kazi kubwa sanaHaya hongereni kwa ushindi.
Sisi tunasubiria katiba mpyaNdo wanachosubiria hapa. 😂
Hongera mtaniWooooyooooool
Piiiiiiiiiiiiiiiiiga mikiaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]....Kikosi kipana kimepanuliwa paaaanuuuuuu
Piiiiiiiga hao mikiaaaaaa..,
Hii yao, tar 25 zamu yetu, Nguvu mojaDaah hii mat h tumepoteza aisee
Yanga wameloga sana hii mechi,yani Simba yangu Chama,Merqueson,Morison,Lwanga hawa woote wamepoteana.
🙏🙏🙏Hongera mtani
[emoji23][emoji23][emoji23]ungenunua kilo ya nyama ukawapikia watotoKatika siku niliamini tunapiga chura kwa asilimia [emoji817][emoji736] ni leo wakuu nimebeti na my husband dah Elfu kumi yangu inaondoka kimasihara[emoji19]