financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mkuu haya subiri kipigo leo, mna masifa sana nyie πMtabakia kusema mabingwa wa kihistoria
Hamtaamini kitakachowakutaMkuu haya subiri kipigo leo, mna masifa sana nyie π
Simba wapo mikumi nyie huku majumbani mnafanya nini? subiri leo ni Kimoko tu kinawatoshaπaaa wapi utopolo Leo tunawafanyia massage Mkapa SPA
πππππ
ππ aah hatuwaogopi mkuu subiri uoneHamtaamini kitakachowakuta
Sasa leo kibao kinawageukia mkipiga kimoko vidume tunawamiminia vitatuSimba wapo mikumi nyie huku majumbani mnafanya nini? subiri leo ni Kimoko tu kinawatoshaπ
Usikimbie huu uziππ aah hatuwaogopi mkuu subiri uone
Baba usijekimbia uzi hapa ok?πSasa leo kibao kinawageukia mkipiga kimoko vidume tunawamiminia vitatu
Namimi hivo hivo usikimbiee maana Simba mnajikuta watu sanaaπ¬Usikimbie huu uzi
Nipo sana tu hadi tamatiNamimi hivo hivo usikimbiee maana Simba mnajikuta watu sanaaπ¬
Sina hiyo tabiaBaba usijekimbia uzi hapa ok?π
Poa mkuu twende kaziπNipo sana tu hadi tamati
Na simba hatuna shughuli ndogo ujuePoa mkuu twende kaziπ
Dhidi ya lipuliMan of the matchView attachment 1838619
Tusubiri tuoneDhidi ya lipuli
Naam naam naam usiku wa deni haukawi kucha naam siku ya kifo cha utopolo hatimae imefika, tunaomba mbaki hapa kwenye huu uzi kwa matokeo yoyote msikimbie au kusubiri mshinde ndo mje tuwe wote hapa hapa kwa do zote 90Haya kumekucha amkeni,,amkeni ,,amkeni.
Mshana Jr
Utopologist
Dam55
Kalpana
OKW BOBAN SUNZU
Simba 4 Vs 0 Utopolo.
Simba nguvu moja.