kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Feitoto anafunga leoninachojua Simba leo tunashinda, goli ngapi sijui ila Tunashindaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Feitoto anafunga leoninachojua Simba leo tunashinda, goli ngapi sijui ila Tunashindaaa
Tunawafaulisha kwenye Kimbinyiko leo akimbii mtu.Uto wanatafuta sababu ya kuahirishwa mechiView attachment 1838727
WatakimbiaSimba 12 - 0 Yanga
😋😋😋😋😋😋
Msipotee baada ya mechiLeo Mnyama analiwa mapema sana.
Sio kwa wananchi, labda hizo timu B zenu kama AzamKila la Kheri Mnyama Mkali Mwituni
Timu kubwa na Bora Afrika yenye kusakata kabumbu lenye viwango vilivyothibitishwa na CAF
Mnyama ataishia VikinduKila la kheri Mnyama.
Yanga Golini yupo Shikalo ambaye kashajulishwa kuwa anaachwa msimu ujao, bila Lamine Moro leo zile goli 5 zinajirudia
Leo tuna watafuneni bila chumvi, mulizoea kuchukua point 3 kwa vibonde, leo mumenasa kwenye nyavu za Wananchi, jiandaeni kuwa kitoeo.Haya kumekucha amkeni,,amkeni ,,amkeni.
Mshana Jr
Utopologist
Dam55
Kalpana
OKW BOBAN SUNZU
Simba 4 Vs 0 Utopolo.
Simba nguvu moja.
Usikimbie hapa wewe Utopolo kama anavyokimbiaga mwenzio OkwaaaLeo tuna watafuneni bila chumvi, mulizoea kuchukua point 3 kwa vibonde, leo mumenasa kwenye nyavu za Wananchi, jiandaeni kuwa kitoeo.
KumekuchaUpande wa kelele , vijembe na matusi tumewaachia watani zetu sisi ni Uwanjani. Yaani tunakuliza kisha tunawaacha mchague wenyewe lawama unampa nani. 😀
Kila la kheri timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Utopolo ndio kikolokolo gani hicho? acha ujinga kwanza.Usikimbie hapa wewe Utopolo kama anavyokimbiaga mwenzio Okwaaa
Jiwe lenyewe ndio Simba sasa maana sisi ni wagumuHahahaa. Haiezi tokea mtani.
Bora nishangilie jiwe kuliko 5imba. 🤣🤣🤣
Na hizi kauli zao eti ubingwa wanauchukulia kwetu tuwaambie tu wasahau.Leo tuna watafuneni bila chumvi, mulizoea kuchukua point 3 kwa vibonde, leo mumenasa kwenye nyavu za Wananchi, jiandaeni kuwa kitoeo.