Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Nipo home Mdogo wangu.Mpira unaangalia kutokea wapi My Dada?
Hivi na wewe ni Mwananchi eti? 🙈
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo home Mdogo wangu.Mpira unaangalia kutokea wapi My Dada?
Hahahaaaa. Kama nawaona mikia wanavyoisoma hii post kimya kimya huku wakisubiria mpira ukiisha waje na quotes za kukera. 🤣🤣Leo Mnyama analiwa mapema sana.
mkuu hapo ni Simba typing error Aaaaagh yaani nimeandika Yanga Tena?Yaani Utopolo mnakeketwa hamtaamini
Hapana Dada Mimi siyo Mwananchi.. Ha ha ha..Nipo home Mdogo wangu.
Hivi na wewe ni Mwananchi eti? [emoji85]
Mawili leo,aidha tuung'oe huo mwiko huko nyuma au tuudidimize kabisaaaaa usionekane tena.
haahaahaa mkuu upo Dom Nini?Tunawafaulisha kwenye Kimbinyiko leo akimbii mtu.View attachment 1838745
Baada ya dakika 90 nitakutafutalabda kufunga kamba za viatu
Leo utopolo tunawavesha shanga kudadadeqUtopolo ni timu ya Yanga,majina mengine ya Yanga ni Manyani f.c,Kidimbwi f.c,Midole f.c,Malalamiko f.c,Bakuli f.c n,k.
Kama utanivesha buti la Jeje hamna noma ilo ni buti analovaa Kamanda Simba Mnyama akimfataga pisi yake pale Jangwani.View attachment 1838777
Muongo sana we jamaaNi ya Simba au yanga
Hahahaaa!! Sio mbaya mdogo wangu.Hapana Dada Mimi siyo Mwananchi.. Ha ha ha..
Nimeshindwa hata kukutakia kila la kheri..
Maana leo hali si hali Dada..
Ila ngoja tuone mwisho wa mchezo..
Tusubiri na tuone Mkuu.Mawili leo,aidha tuung'oe huo mwiko huko nyuma au tuudidimize kabisaaaaa usionekane tena.
Hapana My Dada..Hahahaaa!! Sio mbaya mdogo wangu.
Na kweli tusubiri tuone mwisho wa mchezo itakuwaje.
Hivyo uelekeo uwanjani? [emoji6][emoji6]
Hayo maneno utayakimbia Leo jioni baada ya kupakatwa vere vere weli !Olaaaaaaa [emoji39][emoji39] Mwananchi nikamatie Rasilimali ya Taifa, nirudishie mbugani watalii waendelee kuburudika [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Na vukuku miguu yote.Leo utopolo tunawavesha shanga kudadadeq
bila kusahau kipini puani Kwa maandalizi ya kupakatwa!Na vukuku miguu yote.