Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili kwa vile mulishaweka mipango sawa kule Tiefuefu niseme tu mtachukua ila sio kwetu. Teh teh.View attachment 1838770
Tunalitaka tena
Hahahaaaa. Hapana aiseee.Jiwe lenyewe ndio Simba sasa maana sisi ni wagumu
Msimu ujao mkaweke mipango huko ili mlichukueHili kwa vile mulishaweka mipango sawa kule Tiefuefu niseme tu mtachukua ila sio kwetu. Teh teh.
Mganga kutoka wapi weweeeeSimba ina wachezaji wengi bora kuliko yanga, lakini yanga ina wachezaji wenye uwezo wa kucheza kimbinu kukabiliana na ubora wa simba.
Endapo simba wataingia na kucheza mfumo waliozoea ni rahisi kupoteza mechi.
Endapo simba wataingia na mbinu mpya kabisa tofauti walivyozoeleka, yanga watapoteza mechi tena kwa goli nyingi.
Nilikuwa najiuliza mwanzo mwa uzi wapi dd Shadeeya ila leo huchomoki mm naweka ahadi mkitufunga naenda oga uchi bafun weka ya kwako na wewe.Na hizi kauli zao eti ubingwa wanauchukulia kwetu tuwaambie tu wasahau.
Wakikaza saana point 1.
Msimu ujao mkaweke mipango huko ili mlichukue
Bora mshinde
Hahaha. Nipo mdogo wangu yaani nimemaliza mishe mapema kabisa ili nije nione mna lipi leo.Nilikuwa najiuliza mwanzo mwa uzi wapi dd Shadeeya ila leo huchomoki mm naweka ahadi mkitufunga naenda oga uchi bafun weka ya kwako na wewe.
Utopolo ni timu ya Yanga,majina mengine ya Yanga ni Manyani f.c,Kidimbwi f.c,Midole f.c,Malalamiko f.c,Bakuli f.c n,k.Utopolo ndio kikolokolo gani hicho? acha ujinga kwanza.
Nikimbie nini?
Babu umesahau nilicho kufanya mechi ya mwisho iliyo tukutanisha!
Mbona mikia munajiamini sana!
Hivi munachukulia Wananchi ni tawi lenu kama ilivyo Azam?
Bro leo nakuvesha jeje[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Feitoto anafunga leo
Mpira unaangalia kutokea wapi My Dada?Hahaha. Nipo mdogo wangu yaani nimemaliza mishe mapema kabisa ili nije nione mna lipi leo.
Matokeo kwa Wananchi leo lazima.
Huu upande wa ahadi huwa tunawaachia nyie Mdogo wangu.Nilikuwa najiuliza mwanzo mwa uzi wapi dd Shadeeya ila leo huchomoki mm naweka ahadi mkitufunga naenda oga uchi bafun weka ya kwako na wewe.
Insha Allah. Mana nia tunayo.Bora mshinde