FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Leo uto tumempakia mkongo wa bila mafuta, watakoma kutufahamu! 🀣
 
Asante Sana dj kwa kuniletea Belinda Jacob nilikumic Sana Sana has ule Uzi wetu wa pendwa wa old skool
Many thanks mkuu. Simba ishinde niongezee ngoma kule kwa old school. Nimekuwa mvivu kimtindo. Sema nina collection ya hatari kwa memory sticks.
Furahia mechi ya Simba na Yanga baadae. Pia nao England watolewe, kelele zimezidi wakati timu kama Italy inacheza sensational football.
 
SIMBA 3-1 YANGA

MEQUSSON 1
CHAMA 1
MORRISON 1
 
Umenifurahisha sana hapo kwa AZZURI wazee wa kimya kimya...
 
Hii mechi Mukoko Tonombe hamalizi dakika 60, atatolewa na kocha Nabi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…