Leo esparance de tunis mahasimu wao wanakipiga na mihogo fc. Aise pale rhades ni noma jooooo.....utapigwa mpira hatari japo masikia kocha alisharogwa na mzee mpiliKikubwa hatujapoteza hivi vitimu vidogo vidogo ni kazi sana kuchezq navyo..Tushazoea kucheza na wakubwa wenzetu kina Esperance de tunis π π π π π π π