Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Wakipeleka timu yao vs hawa Singida hawaweziMakolo wamenuuuuuuuna.
YANGA BINGWA.
Huyo gb 64 ndio nani huko dar?! Wengine tupo NamanyererGB 64 alisema wanatumiq dawa sa kuongeza nguvu π
Na hatushuki kileleni pamoja baridi iliyopo hapo.Jamani alamsiki...nilijua tuu Utopwox hawawezi kukubali..maana walishaongea wakayamalizaπππ
Kileleni kwema...
Sema kimoja kinauma kuliko tano tano saizi ni kimoja cha nguruwe mpaka kilele tunafikaSisi kama deliKIMOKO Fc tunaenda juu ya Msimamo na clean sheet
Aisee..πNaomba no zake π
Katika hao washirika, umeijumlisha na timu yako ya simba, au yenyewe haihusiki?Nyuma mwiko lazima mpate pts 48 za kutoka kwa timu washirika. 3 zitapatikana leo
Singida dirisha dogo alinabomolewa mbaya sana watu watachukua top players woteKuna mtu alikua anabisha singida atamaliza na point 81, kazi anayo anatakiwa asifungwe mpaka msimu uishe, na droo Atoe mbili tuππ
Dk 3+ za nyongez
Nani mshindi?ndio
Uzuri na nyinyi mlipokea hako kabahasha kamoja! Kwa hiyo msiwaonee wivu wenzenu.Ukiwaona kama wapo serious vile kumbe BAHASHA tayari π π
Hauna timu ya kumfunga Yanga SCTunawasubiri mzunguko wa 2
Hahaha hatari sanaKimoja kunauma jamani
Makolo ndo muuzaji wa mechi Kwa yanga maana Hadi sasa kashachangia point 3 makolo wazee wakachizi.Jamani alamsiki...nilijua tuu Utopwox hawawezi kukubali..maana walishaongea wakayamaliza[emoji2][emoji2][emoji2]
Kileleni kwema...