Limesikika puuzi moja la jangwani likijibuLilisikika puuzi moja la kayole
Madelu kwenye moja na mbiliYanga vs singinda BS inachezwa Zanzibar ila simba vs singinda BS match itachezwa singinda inafikirisha kidogo
Shukrani koloKila la kheriutoporo
HahaaaKuna watu walishindwa kuifunga Yanga, eti leo wanategemea Singida iwasaidie,hizi akili au matope
Hiyo timu ina maana unakiri kuwa ni bora kuliko singida? Pia inaonekana kuwa ni bora zaidi kuliko Yanga na ndiyo maana Yanga inaona fahari kuifungaππKuna watu walishindwa kuifunga Yanga, eti leo wanategemea Singida iwasaidie,hizi akili au matope
Simba....MBUMBUMBUHUU MCHEZO UNGEKUWA HALISI INGEKUWA MECHI NZURI SANA.
Nasikia ndugu hawa tayari wamekutana mazoezini.
Mh Tunazikia wapi jamani.
Zawadi Mauya.