kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
Alisikika mlevi mmoja[emoji23]Mbuzi Wa Bwana Kheri Yupo shambani Kwa Bwana Kheri...!
Kila kitu kitakuwa Kheri hapa.!
Ana magoli mangapi huyo Guede kwasasa?Naona kocha wa Singida kamuweka Guede nje ili asiwaletee usumbufu Vyura.
Kama nyinyi mechi ya trh 19Hawa wasenge wamekamia mechi wanaumiza wachezaji wetu na refa alivyomjinga anawaangalia tu
Kivipi? Kama kayoko?Huyu refa katumwa
Kaka tuliaaaHuyu refa katumwa
Mtafanya kama walivyofanya Simba walivyobana kisha wakajifunga wenyeweYanga: mmesikia nyie Singida mtajifanya mmeanza kwa kukamia ili waamini sisi sio ndugu ila baadae ndio mtaachia magoli, sawa???
ππππKivipi? Kama kayoko?
Kwani wa leo ni nani sioni vzr...πππππ