FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Lete penalt mkuu
 
Ligi Yakiduanzi sana Umama ni mwingi
Mbona hamtoi maelezo ya kueleweka kila mtu anaongea nusu nusu mnazidi kuniacha na maswali mengi

Goli limefungwa katika mazingira gani?

Offside au?
 
Refa ndio mwamuzi wa MWISHO.. na yeye ndie anaejua muda gani wa kumaliza mpira. Utopolo kwa sasa mtapungua humu kadri muda utakavyozidi songa..

Dawa bado...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…