Baadhi ya mashabiki wa kibongo ni kama mambuzi tu.hili swali na Mimi Ndo nilitaka kuuliza vipi kama Singida wangeongeza Goal la Pili Bado tungesema Hvyo?
Au kwa sababu simba kasawazisha..?
singida angeongeza bado hakuna shida kwa sababu alikuwa anaongoza na alikuwa na faidahili swali na Mimi Ndo nilitaka kuuliza vipi kama Singida wangeongeza Goal la Pili Bado tungesema Hvyo?
Au kwa sababu simba kasawazisha..?
Inauma sana. HahahaRefa alijuaje ni dakika 8 ndio zimeongezwa wakati kibao cha dakika kilionesha ni dakika 6?
Hata hivyo hizo dakika 8 zilikwisha, mbona hakumaliza mpira?
Refa alijuaje ile ni kona wakati watu wote waliona haikuwa kona na lines man alisema ni goal kick?
Penalty ya Kagere....
Ali Salim kaidaka kama yupo Mazoezini
Kagere achunguzwe[emoji1787]
Hata UTOPWINYO.. zile shaba 3 si habaAPR na Singida Wana historia zinazofanana kwenye hili kombe[emoji23]
Hakuna kipya hapo, ndio upigaje wake. Sema kipa alimchezea mchezoNi nini Kimemtokea Kagere...?
Anajua Peke yake..!
Du niamke Nile SASA ilikuwa nilale Tu.Nikalale na Amani ya Kristo sasa...
Kesho sijui ningeficha wapi sura yangu.[emoji3]
Hongereni wana Simba wenzangu.
Nenda kale sasaUishe jamani, njaa inauma π
Wasije.. kwani lazima? Na ww hujalazimishwa kufatilia ni shobo na miwasho ya hapa na paleKocha wa Apr alishasema haya mashindano ni ya kipuuzi na hawawezi kuja tena
Ndio tuliyapata kutoka kwa Tatu MwalongoMajibu ya Khalid Aucho na wenzake kukosa penati mliyapata?
Dakika za nyongeza za kamisaa zilikuwa ni sita tu, na ndio kibao kilionyesha uwanjani. Azam walianza kwa kuweka kusema ni dakika 8 (sijui walielezwa na nani?) lakini kibao kilipoonyesha ni dakika sita na wao wakabadilisha na kuandika ni dakika 6.Mbona dk za nyongeza zilikuwa 8,nadhani azam walizingua kwenye kuweka
Kajipanga kama Belozdad vile ππππππMla ndege kajipanga kumla mpaka simba luwala.
Lijue hilo.
Utajua weweMchezo umekwisha lakini makosa ya mwamuzi yamewacost Singida FG, Goli la Simba limepatikana dakika ya 98 wakati ziliongezwa dakika 6, 90+6=96.
Ushrikina umefanywa na Utopwinyo ili tutolewe lakini wameshindwaaa tunasonga mbeleeeeMandunduka ni Mashirikina sana