Niache namcheki Liverpool anakichafua na Fulham kwanza πππππππ€£π€£π€£π¬π¬π¬ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈKwa hiyo wewe hujawahi kuona magoli kama hayo?
Mimi si refaΒΏWewe ni refaΒΏ
Mkuu huu mpira aliodaka kipa nje angalia vizuri mguu wa beki wakati Saido anapiga cross,mpira uliguswa kule kwa SaidoHaya ndio maoni yangu baada ya kuangalia mazingira ya bao.
Critics wengi walikuwa wanalalamikia swala la kuongeza dakika 6 na mpira kuchezwa hadi dakika 9 ambapo ndio goli lilipozaliwa.
Kwasababu sikuangalia mpira kwa dakika hizo, na highlights hazikupi matukio yote yaliyofanyika katika muda wa dakika 75 nilioondoka nashindwa kuamua kama ni kweli hayo malalamiko yao yana reasons
Nasema hivyo kwasababu inawezekana baada ya hizo dakika 6 refa alizoongeza, Singida walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda kimakusudi.
Kwa scenario hiyo refa kuendeleza mpira kupitiliza zile dakika 6 ni fair kabisa.
Lakini baada ya kuona highlights ya goli nimeona kulikuwa na hoja ya msingi ya critics kulaumu, lakini kwa bahati mbaya wengi hawakujikita huko.
Hoja ya msingi ambayo mimi nilitegemea kuona inazungumzwa na critics ilikuwa ni ile controversial ya kona baada ya kipa wa Singida kudaka mpira.
Kwa bahati katika kipindi cha kwanza tukio kama hilo lilitokea na mimi nilishuhudia kipa akidaka mpira kwa mazingira kama hayo hayo na maamuzi yaliyotolewa ni hayo hayo.
Utofauti ni kwenye matokeo ya hiyo kona.
So at least wangekuja na hoja hii kumlalamikia mwamuzi japo hili nalo limekaa paradoxically sana magwiji mtakuja kuweka sawa kwenye hili (lakini wakati mnaweka sawa si tayari tupo fainali)
Tumeshinda ndio kitu muhimu
View attachment 2867830
Punguza makasiriko ndugu, imeenda hyoMnajifanya waarabu pumbavu kabisa!!!
Kwani aliyelalamika Ni SINGIDA au Ni YANGA π€£π€£yaani ufananishe matukio mawili simba tayari alisha poteza singida angeongeza hawezi lalamika maana tayari kasha lala yooooh
ila singida kufungwa lazima alalamike maana tayari anaongoza anakuja pokonywa ushindi hapo n tofauti mkuu
Wamepoteza Muda kwenye Dakika za nyongeza sio dakika za kawaidaMi miongoni mwa dakika zilizoongezwa.
Hata ukipoteza muda dakika za nyongeza zinatuntwa Ili kutimiza 90' kamili.Wamepoteza Muda kwenye Dakika za nyongeza sio dakika za kawaida
Hilo tukio wengi wanali'overlook'. Lakini ndio kiini cha kona ya Simba.Mkuu huu mpira aliodaka kipa nje angalia vizuri mguu wa beki wakati Saido anapiga cross,mpira uliguswa kule kwa Saido
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nimesema paradoxicallyMkuu huu mpira aliodaka kipa nje angalia vizuri mguu wa beki wakati Saido anapiga cross,mpira uliguswa kule kwa Saido
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika ukweli mtupu ila hapo kwenye 50mb hapana.Haya ndio maoni yangu baada ya kuangalia mazingira ya bao.
Critics wengi walikuwa wanalalamikia swala la kuongeza dakika 6 na mpira kuchezwa hadi dakika 9 ambapo ndio goli lilipozaliwa.
Kwasababu sikuangalia mpira kwa dakika hizo, na highlights hazikupi matukio yote yaliyofanyika katika muda wa dakika 75 nilioondoka nashindwa kuamua kama ni kweli hayo malalamiko yao yana reasons
Nasema hivyo kwasababu inawezekana baada ya hizo dakika 6 refa alizoongeza, Singida walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda kimakusudi.
Kwa scenario hiyo refa kuendeleza mpira kupitiliza zile dakika 6 ni fair kabisa.
Lakini baada ya kuona highlights ya goli nimeona kulikuwa na hoja ya msingi ya critics kulaumu, lakini kwa bahati mbaya wengi hawakujikita huko.
Hoja ya msingi ambayo mimi nilitegemea kuona inazungumzwa na critics ilikuwa ni ile controversial ya kona baada ya kipa wa Singida kudaka mpira.
Kwa bahati katika kipindi cha kwanza tukio kama hilo lilitokea na mimi nilishuhudia kipa akidaka mpira kwa mazingira kama hayo hayo na maamuzi yaliyotolewa ni hayo hayo.
Utofauti ni kwenye matokeo ya hiyo kona.
So at least wangekuja na hoja hii kumlalamikia mwamuzi japo hili nalo limekaa paradoxically sana magwiji mtakuja kuweka sawa kwenye hili (lakini wakati mnaweka sawa si tayari tupo fainali)
Tumeshinda ndio kitu muhimu
View attachment 2867833
Inategemea kaunawa kwa aina gani ndio maana kuna ball hands na hands ball. Na sio kama alipeleka mkono kwenye mpira kwa makusudi, na kuhusu kupoteza muda ni kweli Singida FG walipoteza muda mchezoni. Yote kwa yote mpira ni mchezo wa makosa na ni lazima makosa yatokee ili timu zifungane. ππΎMkuu we hujaona wale Jamaa wa Singida waliounawa mpira tena ndani ya box kabisa?!
Ulikuwa busy tu kuangalia muda ambao kwa sehemu kubwa ulikuwa unapotezwa na Wachezaji wa Singida FG?
KakimbiaππTujikumbushe...
Naunga mkono hojaUnakula rushwa bila kunawa?
Lipi kakaHujajibu swali langu bwashee
Yote kwa yote mchezo umemalizika na kuamua Simba SC kukichafua na Mlandege FC. Nipo muda huu na cheki Carabao.