FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Kwa hiyo wewe hujawahi kuona magoli kama hayo?
Niache namcheki Liverpool anakichafua na Fulham kwanza πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸš¬πŸš¬πŸš¬πŸƒπŸΎβ€β™‚οΈπŸƒπŸΎβ€β™‚οΈπŸƒπŸΎβ€β™‚οΈ
 
Dada Mlandege kutoka visiwani Zanzibar amechaguliwa viti maalu kucheza fainal ya mapinduzi cup na dada Simba sc kutoka Tz BaraπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…

Dadaziiii wakiwezeshwa wanaweza!.
 
Sijaangalia mpira
Ila kwa comment hizi ni dhahili kuna shida

Mhasinu [mention]OKW BOBAN SUNZU [/mention] kuna nini mkuu?
 
Haya ndio maoni yangu baada ya kuangalia mazingira ya bao.

Critics wengi walikuwa wanalalamikia swala la kuongeza dakika 6 na mpira kuchezwa hadi dakika 9 ambapo ndio goli lilipozaliwa.

Kwasababu sikuangalia mpira kwa dakika hizo, na highlights hazikupi matukio yote yaliyofanyika katika muda wa dakika 75 nilioondoka nashindwa kuamua kama ni kweli hayo malalamiko yao yana reasons

Nasema hivyo kwasababu inawezekana baada ya hizo dakika 6 refa alizoongeza, Singida walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda kimakusudi.

Kwa scenario hiyo refa kuendeleza mpira kupitiliza zile dakika 6 ni fair kabisa.

Lakini baada ya kuona highlights ya goli nimeona kulikuwa na hoja ya msingi ya critics kulaumu, lakini kwa bahati mbaya wengi hawakujikita huko.

Hoja ya msingi ambayo mimi nilitegemea kuona inazungumzwa na critics ilikuwa ni ile controversial ya kona baada ya kipa wa Singida kudaka mpira.

Kwa bahati katika kipindi cha kwanza tukio kama hilo lilitokea na mimi nilishuhudia kipa akidaka mpira kwa mazingira kama hayo hayo na maamuzi yaliyotolewa ni hayo hayo.

Utofauti ni kwenye matokeo ya hiyo kona.

So at least wangekuja na hoja hii kumlalamikia mwamuzi japo hili nalo limekaa paradoxically sana magwiji mtakuja kuweka sawa kwenye hili (lakini wakati mnaweka sawa si tayari tupo fainali)

Tumeshinda ndio kitu muhimu
View attachment 2867830
Mkuu huu mpira aliodaka kipa nje angalia vizuri mguu wa beki wakati Saido anapiga cross,mpira uliguswa kule kwa Saido

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani ufananishe matukio mawili simba tayari alisha poteza singida angeongeza hawezi lalamika maana tayari kasha lala yooooh

ila singida kufungwa lazima alalamike maana tayari anaongoza anakuja pokonywa ushindi hapo n tofauti mkuu
Kwani aliyelalamika Ni SINGIDA au Ni YANGA 🀣🀣
MAana kwa utashi wangu Wanaolalamika ni YANGA na Sio SINGIDA
 
Haya ndio maoni yangu baada ya kuangalia mazingira ya bao.

Critics wengi walikuwa wanalalamikia swala la kuongeza dakika 6 na mpira kuchezwa hadi dakika 9 ambapo ndio goli lilipozaliwa.

Kwasababu sikuangalia mpira kwa dakika hizo, na highlights hazikupi matukio yote yaliyofanyika katika muda wa dakika 75 nilioondoka nashindwa kuamua kama ni kweli hayo malalamiko yao yana reasons

Nasema hivyo kwasababu inawezekana baada ya hizo dakika 6 refa alizoongeza, Singida walikuwa wanajiangusha na kupoteza muda kimakusudi.

Kwa scenario hiyo refa kuendeleza mpira kupitiliza zile dakika 6 ni fair kabisa.

Lakini baada ya kuona highlights ya goli nimeona kulikuwa na hoja ya msingi ya critics kulaumu, lakini kwa bahati mbaya wengi hawakujikita huko.

Hoja ya msingi ambayo mimi nilitegemea kuona inazungumzwa na critics ilikuwa ni ile controversial ya kona baada ya kipa wa Singida kudaka mpira.

Kwa bahati katika kipindi cha kwanza tukio kama hilo lilitokea na mimi nilishuhudia kipa akidaka mpira kwa mazingira kama hayo hayo na maamuzi yaliyotolewa ni hayo hayo.

Utofauti ni kwenye matokeo ya hiyo kona.

So at least wangekuja na hoja hii kumlalamikia mwamuzi japo hili nalo limekaa paradoxically sana magwiji mtakuja kuweka sawa kwenye hili (lakini wakati mnaweka sawa si tayari tupo fainali)

Tumeshinda ndio kitu muhimu
View attachment 2867833
Umeandika ukweli mtupu ila hapo kwenye 50mb hapana.
 
Mkuu we hujaona wale Jamaa wa Singida waliounawa mpira tena ndani ya box kabisa?!
Ulikuwa busy tu kuangalia muda ambao kwa sehemu kubwa ulikuwa unapotezwa na Wachezaji wa Singida FG?
Inategemea kaunawa kwa aina gani ndio maana kuna ball hands na hands ball. Na sio kama alipeleka mkono kwenye mpira kwa makusudi, na kuhusu kupoteza muda ni kweli Singida FG walipoteza muda mchezoni. Yote kwa yote mpira ni mchezo wa makosa na ni lazima makosa yatokee ili timu zifungane. πŸ‘πŸΎ
 
Yote kwa yote mchezo umemalizika na kuamua Simba SC kukichafua na Mlandege FC. Nipo muda huu na cheki Carabao.
 
Back
Top Bottom