Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kwamba simba wanajilaza lazaHawa singida muda wote wanalalamika tu, wasianze kutafuta sababu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wanawehukwa balaa, akati wao walisha furushwaa.Ndo kawaida ya wanga hahaha wameshasahau jana waliangukia paa la watu..
bado hujasema [emoji23][emoji23]Mmmh kwa leo, wanaweza kushinda aseeeh,
Sioni Simba akipata ushindii.
Wee nitoe kwny huo upuuzi..huwa sina huo muda...umtoe kocha wa nini??... kuliko kumtoa kocha wachapwe wachezaji viboko basi...
Tutashangilia ushindi punde si pundeMmmh kwa leo, wanaweza kushinda aseeeh,
Sioni Simba akipata ushindii.
Nipo kwenye screen hapa. ....niliona tu mdada akiimbaWee nitoe kwny huo upuuzi..huwa sina huo muda...umtoe kocha wa nini??... kuliko kumtoa kocha wachapwe wachezaji viboko basi...