FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

TUJIKUMBUSHE

Updates

Kolo 0 .......1 singida el de wananchi

Slogan ... hatumtaki benchika na mangungu
 
SSC wana slow game
Na hawana ile fight game mguu kwa mguu

So ikikutana timu km Yanga inayokimbia dakika 90
Ni balaaa wanachoka na kupoteana ndio maana Yanga tunawafunga hawa mapema snaa

Wao ni slow game na wamezoeshana uvivu
Hata kwenye kukaba wanasindika

Mpira wa kukimbizana dakika 90 mbio mbio non stop hawwezi
Upo sahihi! Simba mchezo wao huwa haunifurahishi utafikiri ni watoto wanacheza very slow hawa jamaa very boring game ukiwaangalia.
Huwa hawafatilii game za yanga mwanzo mwenga ni heka heka tu..
Au hawajifunzi timu za ulaya huwa ni heka heka mwanzo mwisho.
Ndo maana sio rahisi wachezaji kama Aziz Ki, Au akina Pacome kucheza simba sababu mfumo wa slow kwao huwa haupo.
 
Back
Top Bottom