Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Uwezo wetu ni ule ule mdogo wa kuwafunga simba 5Na nyie mliotolewa toka zamani huko, mbna uwezo wenu ndo vilee tyuuh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wetu ni ule ule mdogo wa kuwafunga simba 5Na nyie mliotolewa toka zamani huko, mbna uwezo wenu ndo vilee tyuuh.
[emoji23]Tuliza wenge wewe...
Bora aingie konde boy, kuliko huyu babu mwenye gundu na nuksii.Kwasasa nani atacheza badala yake?
Siyo kwema..tuna ugwadu na mikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii mbna hivii? Kwemaaa?
We muhasssibu, umepigaje hapo?Haaaa haaa kuna mijitu mipumbavu mle Simba. Jitu mwili mkubwa lakini halijiamini
Mnyaturu wa kulima alizetiWe ni nani Yanga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulipigwa na APR kaa kwa kutuliaa shost angu.Siyo kwema..tuna ugwadu na mikia
Anataka amthibitihsie kocha kua hajazeekaSasa huyu Saidoo kila sehemu anataka awepo? Majukumu yake anamuachia nani?
Badala ya kupeleka mashambulizi amekuwa ni mtu wa kuzurura na kupoteza mipira, hapaswi kurudi kipindi cha pili.
Konde boy ni Masha love asiye na manyonyoBora aingie konde boy, kuliko huyu babu mwenye gundu na nuksii.
Apr kanipigia wapi!?..Mimi mnyaturu wa kulima alizeti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulipigwa na APR kaa kwa kutuliaa shost angu.
Viungo wote watatu Wana asili ya kukaba na kukaba yenyewe si wakabaji wazuri piaHii mechi Simba asipoangalia anakuja nyingi, inanipa taswira za mechi na Utopolo maana beki si kwa kukatika huku. Halafu how comes kuna viungo watatu lakini dimba la kati linatawaliwa na SFG!