Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nipe mrejesho mwananchi mwenzangu, nani katupia bao huyo?Updates
Kolo 0 .......1 singida el de wananchi
Slogan ... hatumtaki benchika na mangungu
Kumbuka Simba wameingiza kikosi full mkoko
Huwa wanafanya hivyo mara zote na hawajawahi kushindaIla Singida wanacheza mpira Leo, khaaah
Yaan simba ndo tuna suffer hivi, Lol
Ndo kawaida ya wanga hahaha wameshasahau jana waliangukia paa la watu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulipigwa na APR kaa kwa kutuliaa shost angu.
Kuna jamaa anaitwa RUPIA .....JAMAA ANATISHA ....KWANZA KIPA ALIVOMUONA ANAKUJA NA MPIRA.....KIPA KAKIMBIA GOLINI[emoji23][emoji23]Hebu nipe mrejesho mwananchi mwenzangu, nani katupia bao huyo?
Ni swala la muda tuSasa huyu Saidoo kila sehemu anataka awepo? Majukumu yake anamuachia nani?
Badala ya kupeleka mashambulizi amekuwa ni mtu wa kuzurura na kupoteza mipira, hapaswi kurudi kipindi cha pili.
Hanang moja Jamii ya Barabaig au Hadzabe?Mnyaturu wa kulima alizeti
Inashangaza sanaYaani vitu vingine vigumu sana kuamini. Una washambuliaji na viungo washambuliaji wenye kasi akina Chasambi, Miqueson halafu ukamuweke Baleke na Saidoo kwa mechi na SFG ni kutafuta msiba.
I second you. Wanarukaruka mwishowe watapigwa 3 na zaidiHii ni kawaida kabisa kwa Singida.
wanakimbia kimbia tu, with no target.
Tutawanywa tu.
No way out.
Tunza post hii.
Mnyaturu,wanyaturu kwetu singidaHanang moja Jamii ya Barabaig au Hadzabe?
Ndo nakwambia sasa...Bado hujasema [emoji23][emoji23]
Huu ni wakati wa vyura kushangilia goli 😂😂GOOOOOOOOOLLL....makolo 0......... singida el Yanga 1