Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja hii yenye mashikoGame bado Simba atashinda zaidi ya goli 3
Mbwa nyie,na badoIla Singida wanacheza mpira Leo, khaaah
Yaan simba ndo tuna suffer hivi, Lol
Kwasasa nani atacheza badala yake?Ila makocha wa simba, sijui kwann wanampenda ntibanzokiza mbona hana jipyaa kabisaa. Wanaboa balaaa.
Na nyie mliotolewa toka zamani huko, mbna uwezo wenu ndo vilee tyuuh.Umbwa nyie huo ndio uwezo wenu
Tayari Simba kesha kamatwa huko, bado kuchinjwa tu wauni wamfanye chapso.Anhaa! Kumbe umeshajuwa uto B wanapigwa.
Eti mla ndege amle Simba? Ndoto za kitanda.
Taratibu mkuuGOOOOOOOOOLLL....makolo 0......... singida el Yanga 1
We ni nani Yanga?Mbwa nyie,na bado
siri gani wanajadili ujinga tuAfu linaenda kushea na wenzake siri zilizojadiliwa na Simba
Tuliza wenge wewe...Updates
Kolo 0 .......1 singida el de wananchi
Slogan ... hatumtaki benchika na mangungu
Mzee ni saidooWazee wengi unataka watapike ulimi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii mbna hivii? Kwemaaa?Mbwa nyie,na bado
Nani tena kazuiwa huyo?Haya ndio mambo ya uswahili nisiyoyaelewa
Unakataza vipi mchezaji asicheze dhidi yako eti kisa tu umemtoa kwa mkopo?
Na controversial inapokuja ni pale ambapo mechi zilizopita mlipokutana, huyo amecheza bila kizuizi.
Kuna mahala mpira wetu tunaukosea kwasababu hatupati kipimo halisi cha ubora kama wachezaji tunaowaona tishio wanazuiwa
Yaani vitu vingine vigumu sana kuamini. Una washambuliaji na viungo washambuliaji wenye kasi akina Chasambi, Miqueson halafu ukamuweke Baleke na Saidoo kwa mechi na SFG ni kutafuta msiba.Baleke yumbo ndani?