FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Haya ndio mambo ya uswahili nisiyoyaelewa

Unakataza vipi mchezaji asicheze dhidi yako eti kisa tu umemtoa kwa mkopo?

Na controversial inapokuja ni pale ambapo mechi zilizopita mlipokutana, huyo amecheza bila kizuizi.

Kuna mahala mpira wetu tunaukosea kwasababu hatupati kipimo halisi cha ubora kama wachezaji tunaowaona tishio wanazuiwa
nani kazuiwa mkuu
 
Mukiambiwa nyinyi ni mbumbumbu munarusha ngumi.
Hivi huyu Beleke sindio huwa munatuamisha kua ni mchezaji mzuri hapa kila siku!
We kweli utopolo, umeaminishwa kila siku na nani wakati hapa leo unaona anakosolewa?
 
Kwa huyu Dulla Mbabe tumepigwa.
20240110_211957.jpg
 
Hamna upgrade ilofanyika kwa huyu Sarr.
Tumpe Muda, Ila tatizo naliona kwenye positioning. Haijulikani Nani DM Nani HM. Kama lengo lilikuwa ni kuchezesha Double pivot basi Ngoma na Sarr bado hawajaelewana.
 
Kila anayetazama mpira atakubaliana na hiki unachosema.
Muda wanaotumia singida kufika golini kwa simba ni mfupi sana. Ila simba wanatumia muda mrefu sana kufika golini mwa singida.

Pia kiwango cha kujituma cha Singida kiko juu sana mara mbili ya wachezaji wa Simba ukiacha Ngoma.

Wakibadilika bado wanaweza kutoboa. Ila wakirudi hivihivi watafungwa hata tatu.
 
Babu saido hua najiuliza kwa nini hua anaanza first eleven
 
TUJIKUMBUSHE

Updates

Kolo 0 .......1 singida el de wananchi

Slogan ... hatumtaki benchika na mangungu

Simba [emoji250] [emoji250] [emoji250]. Guvu moya
 
Sasa ni mapumziko.....


Makolo...0 ......1..singida el de wananchi
 
Back
Top Bottom