FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

Dakika ya ngapi huko? Naona tu kule juu kuna mtu amepigwa kagoli kamoja eti!!
 
Ok ngoja tuone.

Ooh baleke katoka na kened. Phiri In
 
Nimeshindwa kuelewa kama mashindano haya nayo yanatambulika na CAF maana hili ni kama Bonanza? Kuzuiana tena kunatoka wapi Jamani?
Linapokuja swala la ushindani watu hiyo hawajali
 
Kipindi cha pili SFG Wakija na game plan ya kujilinda watapigwa wacheze vile vile mpira wa kasi
 
Niliposikia Onana anatafutwa na timu 3 za Ufaransa nikajua wamechanganya na Onana wa Man U.
Wewe tenaa siku hizi umeamua kuwa wazi, baada ya watu kukushtukiaa, mzee wa neutral.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF jamani woiiiih
 
Wewe tenaa siku hizi umeamua kuwa wazi, baada ya watu kukushtukiaa, mzee wa neutral.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF jamani woiiiih
Huyu wa Miso misondo fc hata Kitayose hapati namba
 
TUJIKUMBUSHE

Updates

Kolo 0 .......1 singida el de wananchi

Slogan ... hatumtaki benchika na mangungu

Simba [emoji250] [emoji250] [emoji250]. Guvu moya
 
Back
Top Bottom