Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambo ya aibu sanaIli Singida wapate bao la pili
Wewe kum kweli, unaweka live na huweki update mjinga
zilifidiwa 6 refa hizi nyingine alipata wapi
Ilitakiwa ziongezwe 9 Refa katubaniaSwali la msingi kwanini refa hakumaliza mpira mudda ukipofika?
Izo dakika alizoongeza alitoa wapi nyie makolo?
Kama ukipoteza muda refa anaongezazilifidiwa 6 refa hizi nyingine alipata wapi
Walipoteza muda kwenye ndani ya Dk 90 lkn kwenye zile 6 za nyongeza hawakupoteza muda Refa kawabeba Simba huo ndio ukweli.Singida wakitolewa watajutia dk walizotumia kupoteza muda, mtu unagongwa kidgo tu unalala nusu saa nzima .
sijauliza matumiziKwani hizo zilizoongezeka zilikuwa zinatumiwa na timu moja pekee?