Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadhi wameona halifai ila ni ili kuboresha baadhi ya viwanja sio rafiki kabisa ni basi tu mpira unachezwa ili uchezwe eg uwanja wa Dodoma ule mvua ikinyesha au Tabora mbona utaupendaWazo Zuri sana mkuu ...
Wewe ni mgojwa wa macho.Clear Penati
Umeona vema ni Guede hakuonekana mda mrefu kimya kina mshindoChuma tayari naona
Acha upotoshaji, hilo goli la Guede ukimtengea Mpira hapo Saido peke yake hata mara 10 hawezi kufunga.Wamejifunga bana
Hii ndio Yanga Rafiki.
Huyu ndiye alitupeleka robo fainali ya CAF.Hatimaye anaendelea kuimarika.
Kimoyomoyo nimesema Guede ni mchezaji bora sanaaaAcha upotoshaji, hilo goli la Guede ukimtengea Mpira hapo Saido peke yake hata mara 10 hawezi kufunga.
Kabisa Mkuu.Huyu ndiye alitupeleka robo fainali ya CAF.
Yeye ni mtu wa magoli muhimu.
Kwa MkapaHawa tuwapige mbili dk 70 tutoe wachezaji wote muhimu,tuna shughuli yetu wiki ijayo.
Namkubali sana akipata chance anawekaa hanaga mbambambaHatimaye anaendelea kuimarika.
We ni Mwananchi au Koro?Kimoyomoyo nimesema Guede ni mchezaji bora sanaaa
Angle aliyokuepo tena yupo na mpinzani pembeni ni vigumu kufunga lakini yeye kaweza.
Mimi ni Yanga...!💛💚🤸♀️We ni Mwananchi au Koro?