FT: Singida FGT 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | CCM Kirumba | 14.4.2024

FT: Singida FGT 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | CCM Kirumba | 14.4.2024

Ma

Mamelod Kamuulize Habari Yangu Anayo.

Al Ahly Mechi Aliyonifunga Nilikuwa Nakamilisha Ratiba.

Azam Kama Ilivyojionea Nilikuwa Kwenye Maandalizi Ya CAF Champion League.
Sasa mkianza kuleta visingizio basi kila timu italeta visingizio
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.
JamiiForums1683832807.jpg
 
Mkuu Mpira Unajieleza Uwanjani Kwakuwa Tupo Basi Tuendelee Kutazama Mbungi Viwanjani
Haha kuna visingizio vya kuleta mkuu, sasa kusema kwamba eti hamjaifunga timu fulani kisa mliamua kuwaachia, au sijui mlienda tu kukamilisha ratiba ni uwongo wa wazi kabisa
 
Haha kuna visingizio vya kuleta mkuu, sasa kusema kwamba eti hamjaifunga timu fulani kisa mliamua kuwaachia, au sijui mlienda tu kukamilisha ratiba ni uwongo wa wazi kabisa
Mechi Hahikuwa Na Uzito Kama Mechi Ambayo Tulicheza Nae Tukapata Sare Nae.

Uwezi Kukamia Mechi Ambayo Hata Wachezaji Mentality Yao Wanajua Wamefuzu
 
Back
Top Bottom