Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Boss furaha ya ushindi mpaka mawazo yakawa kwingineMkuu mbona umewaza mbali sana?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss furaha ya ushindi mpaka mawazo yakawa kwingineMkuu mbona umewaza mbali sana?!!
Sawa Mkuu Si Unataka Kusema Wachezaji Wenu Wa Kolouzidad Ndio Wanawindwa.Itakuwa ni vilabu vya pombe
Semaji lao liko bize kubishana mambo ya Yanga tu usiku na mchana.Makolo wana mengi ya kueleza. Wanatakiwa wamueleze Azizi K kama lile shuti lake dhidi ya Mamelodi lilikuwa goli au siyo goli?
Mbona unajistukia kama unakata Gogo nje na kwa hali mliyokuwa nayo unahaki kuwakataa Kolo FC.Kwani hujui mie ni Uto?
Nilizikumbuka kwa sababu mie ni mjinga na ni Uto og.
Mjinga hukumbushia yaliyopita, mwelevu huyatazama yaliyo mbele.
Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.
Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
Mjinga hukumbushia yaliyopita, mwelevu huyatazama yaliyo mbele.Kwa hiyo kwa mujibu wa Comment yako wewe ni Mjinga.
So kwa hii Comment yako ya hapo chini unakiri mwenyewe wewe ni MJINGA.Mjinga hukumbushia yaliyopita, mwelevu huyatazama yaliyo mbele.
Tuendelee kukumbushans yaliyopita mjinga mwenzangu.
Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.
Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
Tuendelee kukumbushana yaliyopita mjinga mwenzangu.So kwa hii Comment yako ya hapo chini unakiri mwenyewe wewe ni MJINGA.
Ngoja tuendelea kukumbushana na uzuri umejitukana mwenyewe.Tuendelee kukumbushana yaliyopita mjinga mwenzangu.
Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.
Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.
Tunataka atulie ivyoivyo aache mapepe maana leo black n' white([emoji460])limetii miguuni mwakeMzize Leo Kakiwasha Kama Musonda Game Ya Mwisho Na Mamelod.
Huyu Jamaa Mzize Tetesi Za Kuanza Kuwindwa Na Vilabu Vya Nje Imemuongezea Spirit Sana.
Mzize Namuona Mbali Akiendelea Hivi[emoji91][emoji91][emoji91]
Nkane anapaswa aongeze mbio ili awe kama Uncle Enjoy ball(Ngassa)Utamuelewa tu Gamondi aliposema anamuamini Mzinze na kumpa nafasi Kwa sababu ni future generation na asset ya Tanzania.
Denis Nkane umbo litakuwa ndio linamuangusha kuaminiwa na Gamondi mbele, Mzinze ana body nzuri Kwa striker, naamini kamwili Ka Denis Nkane ndio kanamyima fursa ya kuaminiwa maana striker licha ya akili na maguvu nayo yana nafasi yake.
Yes sisi ni wajinga na ndio maana tunakumbushana yaliyopita, tuendelee tu na ujinga wetu.Ngoja tuendelea kukumbushana na uzuri umejitukana mwenyewe.
Yes sisi ni wajinga na ndio maana tunakumbushana yaliyopita, tuendelee tu na ujinga wetu.
Ngoja tuendelea kukumbushana na uzuri umejitukana mwenyewe.Tuendelee kukumbushana yaliyopita mjinga mwenzangu.
Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.
Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.
Kwamba coca sio pis kaliYanga hamna Warembo!? Mimi umeshawahi kuniona?
Hapa jf warembo wote ni Yanga Mahondaw, Lamomy Shadeeya
Halafu mashabiki wa Simba ndio mna Cocastic🤣
Mjinga hukumbushia yaliyopita, mwelevu huyatazama yaliyo mbele.Ngoja tuendelea kukumbushana na uzuri umejitukana mwenyewe.
Vipi ndoto imekwenda vipiNdotoo hii
Huyo labda PC (personal computer)Kwamba coca sio pis kali