Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu ni wazalendo sana.Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.
Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.Kama hawa wamekula tatu mnasema tumenunua mechi na waliokula tano nao mnasemaje....?
Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.Kwa hiyo hamkuumia kabisa na zile tano,maana mpaka kocha mkamuondoa.....
Yule ni mzee wa Masandawane Carasco PutinKuna jamaa ana jezi ya ubuntu boรพho jukwaani kafanana na yule msomali anaechezaa movie za wateka meli na wamarekani
Shuti la Aziz ki limepigwa kwa maelekezo ya boss gani? ๐๐๐Mmenunua mechi ,beno kaona hawezi kukubali upumbavu wenu. Timu inacheza kwa maelekezo ya Boss.
Mkuu mbona umewaza mbali sana?!!Cha muhimu mashine iwe inapita,vingine mbwembwe tu
Huko darasani vyote vinavyo somwa vilishapita,vikaandika kwenye vitabu wanafunzi wanavisoma na kuvimemorize.Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.
Majungu FCMmenunua mechi ,beno kaona hawezi kukubali upumbavu wenu. Timu inacheza kwa maelekezo ya Boss.
Huko darasani vyote vinavyo somwa vilishapita,vikaandika kwenye vitabu wanafunzi wanavisoma na kuvimemorize.Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.
Kwahio mmefurahia haiumi.....oh namkumbuka mwajumaHata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.
Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
DuhSimba fanyeni home work yenu vizuri, Mkude amepumzishwa tayari maana yake mnaye huyu tarehe 20 ili mumueleze mlimuacha Vipi yeye na kusajiri magarasa?
Hapo sawa ๐Nimepokea ushauri๐คธโโ๏ธ
Nilikwambia tumpe mudaHuyu Joseph Guede siku hizi anatufurahisha wananchi!! [emoji56]
Tatizo hukwenda darasani ndo maana unasema haya,maarifq yote ni mambo yaliyovumbuliwa zamani kwahy ni mambo yaliyopita hivo ni ujinga?Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.