dhk1
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 937
- 556
Ndo apoShuti la Aziz ki limepigwa kwa maelekezo ya boss gani? πππ
πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo apoShuti la Aziz ki limepigwa kwa maelekezo ya boss gani? πππ
πππ
Ngija nijongee
Hakika Uwanja Ungekuwa Poa Tungeshinda Hata 5.Unahatarisha sana usalama wa wachezaji
Mkuu Nadhani Umejionea Mwenyewe,ππππ we jamaa
Amelirudia tena leo CCM Kirumba kuonesha kwamba huwa habahatishi, Aishi Manula anaweza kuthibitisha.Makolo wana mengi ya kueleza. Wanatakiwa wamueleze Azizi K kama lile shuti lake dhidi ya Mamelodi lilikuwa goli au siyo goli?
Mzize Leo Kakiwasha Kama Musonda Game Ya Mwisho Na Mamelod.Mzize leo ni nipe pasi nikupe assist hana baya dhambi zake zielekezwe kwa Dewjaku[emoji41]
Ninekuta chaap.wewe si kashangazi??πππ Kwenye wazee naomba unitoe puliiiizzz
Mamelod Kamuulize Habari Yangu Anayo.Bila hata kuenda mbali kwa kina Ahly na Mamelodi vipi Azam ni wa Asia siyo
Ila Timu Bora Hakuna Cha Kuizuia Uwanjani Ungekuwa Poa Tungeshinda Hata 5+
Kashangazi kadogo dogo!! π€£π€£π€£Ninekuta chaap.wewe si kashangazi??
Utamuelewa tu Gamondi aliposema anamuamini Mzinze na kumpa nafasi Kwa sababu ni future generation na asset ya Tanzania.Mzize leo ni nipe pasi nikupe assist hana baya dhambi zake zielekezwe kwa Dewjaku[emoji41]
Hivi vimetumika vigezo gani kuita hii mechi ni derby?
Leo kutakuwa na Sportpesa derby baini ya Singida vs Yanga FC mnamo saa 10:00 jioni CCM Kirumba.
Ni mechi Kali ya kusaka pointi muhimu tena kwa Yanga na mwenyeji Singida.
Kikosi cha kwanza cha yanga kinachoanza
Baelezee baambie ππujasiri wa kunisahau Half american kautoa wapi..?!
Hii Yanga imeshindikana mpeni kombe lake tu
Leo kutakuwa na Sportpesa derby baini ya Singida vs Yanga FC mnamo saa 10:00 jioni CCM Kirumba.
Ni mechi Kali ya kusaka pointi muhimu tena kwa Yanga na mwenyeji Singida.
Kikosi cha kwanza cha yanga kinachoanza
Itakuwa ni vilabu vya pombeMzize Leo Kakiwasha Kama Musonda Game Ya Mwisho Na Mamelod.
Huyu Jamaa Mzize Tetesi Za Kuanza Kuwindwa Na Vilabu Vya Nje Imemuongezea Spirit Sana.
Mzize Namuona Mbali Akiendelea Hiviπ₯π₯π₯
Ukiweza kurudi kwenye ujima nitakuelewa, tembea ndani ya mji tunaoishi ukiwa kama ulivyozaliwa, kende linabembea, tako nje nje nitakuelewa kuwa u mtetezi wa yaliyopita.Tatizo hukwenda darasani ndo maana unasema haya,maarifq yote ni mambo yaliyovumbuliwa zamani kwahy ni mambo yaliyopita hivo ni ujinga?
Kwahio mmefurahia haiumi
Huko darasani vyote vinavyo somwa vilishapita,vikaandika kwenye vitabu wanafunzi wanavisoma na kuvimemorize.
Tatizo lako wewe memory yako KB ndio maana umesahau,sasa zile sita umezikumbuka vip,ukashindwa kuzikumbuka tano za mwaka jana,kama sio unafiki ni nini.... au na wewe ni mjinga kama ulivyo jielezea.