FT: Singida FGT 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | CCM Kirumba | 14.4.2024

FT: Singida FGT 0-3 Yanga SC | NBC Premier League | CCM Kirumba | 14.4.2024

Mzize leo ni nipe pasi nikupe assist hana baya dhambi zake zielekezwe kwa Dewjaku[emoji41]
Utamuelewa tu Gamondi aliposema anamuamini Mzinze na kumpa nafasi Kwa sababu ni future generation na asset ya Tanzania.

Denis Nkane umbo litakuwa ndio linamuangusha kuaminiwa na Gamondi mbele, Mzinze ana body nzuri Kwa striker, naamini kamwili Ka Denis Nkane ndio kanamyima fursa ya kuaminiwa maana striker licha ya akili na maguvu nayo yana nafasi yake.
 

Leo kutakuwa na Sportpesa derby baini ya Singida vs Yanga FC mnamo saa 10:00 jioni CCM Kirumba.

Ni mechi Kali ya kusaka pointi muhimu tena kwa Yanga na mwenyeji Singida.

Kikosi cha kwanza cha yanga kinachoanza
Hivi vimetumika vigezo gani kuita hii mechi ni derby?
 

Leo kutakuwa na Sportpesa derby baini ya Singida vs Yanga FC mnamo saa 10:00 jioni CCM Kirumba.

Ni mechi Kali ya kusaka pointi muhimu tena kwa Yanga na mwenyeji Singida.

Kikosi cha kwanza cha yanga kinachoanza
Hii Yanga imeshindikana mpeni kombe lake tu
 
Tatizo hukwenda darasani ndo maana unasema haya,maarifq yote ni mambo yaliyovumbuliwa zamani kwahy ni mambo yaliyopita hivo ni ujinga?
Ukiweza kurudi kwenye ujima nitakuelewa, tembea ndani ya mji tunaoishi ukiwa kama ulivyozaliwa, kende linabembea, tako nje nje nitakuelewa kuwa u mtetezi wa yaliyopita.

Mkazo wangu upo pale pale "mjinga hukumbushia yaliyopita"

Karibu mjinga utukumbushie ya kale πŸ˜‚
 
Usifananishe shule na ujinga wa kukumbuka pilau ya mwaka jana ilhali upo mwaka mpya.

Mjinga hukumbushia yaliyopita.
Huko darasani vyote vinavyo somwa vilishapita,vikaandika kwenye vitabu wanafunzi wanavisoma na kuvimemorize.

Tatizo lako wewe memory yako KB ndio maana umesahau,sasa zile sita umezikumbuka vip,ukashindwa kuzikumbuka tano za mwaka jana,kama sio unafiki ni nini.... au na wewe ni mjinga kama ulivyo jielezea.
 
Back
Top Bottom