Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado bila bila mkuu naona Hawa wachezaji wa Yanga wanaleta mzaha wakiwa golini ni kama vile wanaona wameshinda 😬😬😬😬Ngapi ngapi?
Uwanja ndio Changamoto upande wenye nafuu ni kule aliko Mzinze,na jamaa wanacheza rafu sana.Bado bila bila mkuu naona Hawa wachezaji wa Yanga wanaleta mzaha wakiwa golini ni kama vile wanaona wameshinda 😬😬😬😬
Ni kweli mkuu but we have to find an excuse to win not to loose(ranger training policy Utah base)Uwanja ndio Changamoto upande wenye nafuu ni kule aliko Mzinze,na jamaa wanacheza rafu sana.
Watu wa dar hua mnahisi Kila kitu kifanyike kwenu, serikali na Hawa wadhamini waje na plan ya kuboresha viwanja, unataka Timu zote za mkoani waweke Kambi dar sio?Hivi viwanja si tungechagua viwanja vichache vichezewe ligi kuu eg Azam,Mkapa,uhuru,angalau kidogo Mkwakwani,
Team ziwe zinaweka kambi hapahapa Dar basi
Mbna hatuko live
Ni wazo don't take it personal hakuna watu wa dar Kuna mashabiki wa mpiraWatu wa dar hua mnahisi Kila kitu kifanyike kwenu, serikali na Hawa wadhamini waje na plan ya kuboresha viwanja, unataka Timu zote za mkoani waweke Kambi dar sio?