uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Mrudisheni kipa wa watu. πππView attachment 2963466
Utopwinyox washamwiba Kakolanya wa Watu πππππ€
Nimecheka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrudisheni kipa wa watu. πππView attachment 2963466
Utopwinyox washamwiba Kakolanya wa Watu πππππ€
Hawa jamaa wakiijia Derby kama wanavyojiamini sasa!Tutawajoin mkipigwa na kudrooo dear Utochura....like we did for Masandawane...
Kakolanya huwa ni snitch kitambo TU Wala si hatuna shida ya ku deal nae kwanza tungependa awe golini Haule huwa mtata sana akiwa goliniMrudisheni kipa wa watu. πππ
Nimecheka sana
Nipo nao hadi wapate suluhuJamani nilikuwepo na log off.....hizi point mnazichukua nyie ni ndugu hawata wabania....
Dah!Kakolanya huwa ni snitch kitambo TU Wala si hatuna shida ya ku deal nae kwanza tungependa awe golini Haule huwa mtata sana akiwa golini
Nimeongeza chumvi mtani..mtori unogeMmh! Mwanaume anakasirika mwezi?
Unakimbia πππJamani nilikuwepo na log off.....hizi point mnazichukua nyie ni ndugu hawata wabania....
Suluhu ni ndoto kwa hii game japo ngumu ila tutapata goli 2 ili ku cement gape na Ubuntu botho ili tukipata na kwake 3 na Azam akamkanda basi gape ni 12 =4 games tunaweza tangaza ubingwa mapemaNipo nao hadi wapate suluhu
Utaniita...hahahaNipo nao hadi wapate suluhu
Kuiba kuraCcm wameshindwa kuboresha hata uwanja kama huu uwe kwenye international standard sijui wataweza kipi
Hahah Utomasandawane kila la heri...Suluhu ni ndoto kwa hii game japo ngumu ila tutapata goli 2 ili ku cement gape na Ubuntu botho ili tukipata na kwake 3 na Azam akamkanda basi gape ni 12 =4 games tunaweza tangaza ubingwa mapema
NB:tunaomba Benchika asiondoke
Hiki huwa wanasaidiwa wakiachwa hawawezi kuiba hata karatasi mojaKuiba kura
Pamoja ngoja tupashe pashe kwa ajili ya hiyo 20.Hahah Utomasandawane kila la heri...
Yamejaa bonge la mvua mwanza sema ndio vile wananchi wameenda hivyo hivyo ku support lifeHivi uwanja una maji au mi naona vibaya
Utazipata hadi Sasa Mzize kakosa clear chance kama kawaida yakeMtupe Updates wadau