Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Mkude msimuamini sana si mnaona kwny ngao aliwapa ushauri wa kindezi kwenye matuta mkapigwa...Ila sasa hivi naona kocha kaweka pacha ya mkude na aucho nahisi ata tarehe 20 ata anza hivi hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkude msimuamini sana si mnaona kwny ngao aliwapa ushauri wa kindezi kwenye matuta mkapigwa...Ila sasa hivi naona kocha kaweka pacha ya mkude na aucho nahisi ata tarehe 20 ata anza hivi hivi
Hadi nimelia mtani wangu 😭😭😭😭Mtani umekasirika ka uzi ka paragraph moja?? Eti mtanange wa sport pesa hahhahahahhaahha 🤣 🤣 🤣
😁😂😁😁Ila jumamosi ataupiga mwingi sana mtani wangu 😁Mkude msimuamini sana si mnaona kwny ngao aliwapa ushauri wa kindezi kwenye matuta mkapigwa...
Hakuna anyeombea liwatokee wachezaji wetu, ila si vibaya kuonyesha pande zote mbili za faida na hasaraAnyway, unalolitaka halitatokea.
Naunga mkono hoja kaka 😅😁Nilimmention Cookie ili afanye edit ya title katulia.
Atakuwa Msakuzi anakunywa bia bila shaka 😀😀
Msalimie shemeji yangu yuko huko anaipenda utopolo mpka aibu...Mtatusimulia itakavyokuwa.
Imetokea bahati mbaya niko nje ya Tz kabisa.
Labda kama kuna YouTube channel itakayorusha hii mechi
Aha! kumbe familia? pamoja sana.Hakuna anyeombea liwatokee wachezaji wetu, ila si vibaya kuonyesha pande zote mbili za faida na hasara
Hivi mmekuja kuwaje jamani?? Mnajua mnadeka sanaaa hatupumui...
😅😂😁😁😁😁😁😁Hivi mmekuja kuwaje jamani?? Mnajua mnadeka sanaaa hatupumui...
Wacha tuwakomeshe.. 😆 😆 😆 😆 😆
Kuipenda Yanga haiwezi kuwa aibu, unanikosea mimi na shemeji yako huyo ujue na wadau wengine.Msalimie shemeji yangu yuko huko anaipenda utopolo mpka aibu...
Wapii huyo ni mnyama tila lila...Aha! kumbe familia? pamoja sana.
😀😀😀Ndio maana anatia huruma hivyo.Wapii huyo ni mnyama tila lila...
Hahahaa hahahahaha basi sawa...aibu ni kwamba huwa ana react mno ana tukasirikia wana simba wa familia hata mwezi mzima...Kuipenda Yanga haiwezi kuwa aibu, unanikosea mimi na shemeji yako huyo ujue na wadau wengine.
AiseeYanga wamejaa uwanjani bila kujali mvua kubwa inayonyesha
Mmh! Mwanaume anakasirika mwezi?Hahahaa hahahahaha basi sawa...aibu ni kwamba huwa ana react mno ana tukasirikia wana simba wa familia hata mwezi mzima...