joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ngoja tuendelea kukumbushana na uzuri umejitukana mwenyewe.Mjinga hukumbushia yaliyopita, mwelevu huyatazama yaliyo mbele.
Haya tulio wajinga tuendelee kukumbushana yaliyopita.
Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.
Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.
Mjinga hukumbushia yaliyopita, go ahead.Ngoja tuendelea kukumbushana na uzuri umejitukana mwenyewe.
Mungu awatie nguvu bro.....Mjinga hukumbushia yaliyopita, go ahead.
Ngoja tuendelea kukumbushana na uzuri umejitukana mwenyewe.Mjinga hukumbushia yaliyopita, go ahead.
Hata hiyo hamjawahi kulipa zile 6 ilizowapiga, hizo 5 mlizopiga ingekuwa heri mngeongeza na 1 ili mlipe deni.
Jutahidi tarehe 20 mlipe deni enyi Amphibians.
Mjinga siku zote hukumbushia yaliyopita.
Sasa mkianza kuleta visingizio basi kila timu italeta visingizioMa
Mamelod Kamuulize Habari Yangu Anayo.
Al Ahly Mechi Aliyonifunga Nilikuwa Nakamilisha Ratiba.
Azam Kama Ilivyojionea Nilikuwa Kwenye Maandalizi Ya CAF Champion League.
Sijakusahau ila kwa hadhi na heshima uliyonayo nisingeweza kukumention na wengine πujasiri wa kunisahau Half american kautoa wapi..?!
ππSijakusahau ila kwa hadhi na heshima uliyonayo nisingeweza kukumention na wengine π
Kama unaijua mbona ukauliza nmekusahauje, unataka wapate wivu πππ
Hiyo naijua..!!
Mkuu Mpira Unajieleza Uwanjani Kwakuwa Tupo Basi Tuendelee Kutazama Mbungi ViwanjaniSasa mkianza kuleta visingizio basi kila timu italeta visingizio
Kabisa Jamaa KakiwashaTunataka atulie ivyoivyo aache mapepe maana leo black n' white([emoji460])limetii miguuni mwake
Haha kuna visingizio vya kuleta mkuu, sasa kusema kwamba eti hamjaifunga timu fulani kisa mliamua kuwaachia, au sijui mlienda tu kukamilisha ratiba ni uwongo wa wazi kabisaMkuu Mpira Unajieleza Uwanjani Kwakuwa Tupo Basi Tuendelee Kutazama Mbungi Viwanjani
Mechi Hahikuwa Na Uzito Kama Mechi Ambayo Tulicheza Nae Tukapata Sare Nae.Haha kuna visingizio vya kuleta mkuu, sasa kusema kwamba eti hamjaifunga timu fulani kisa mliamua kuwaachia, au sijui mlienda tu kukamilisha ratiba ni uwongo wa wazi kabisa